Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Sasa wapi wamesema Mariupol vita inaendelea zaidi ya kusema baadhi ya sehemu za donesk na luhansk

Refocus on eastern provinces​

Despite the desperate situation in Mariupol, Ukraine said it was holding off Russian forces in other parts of the Donbas regions of Donetsk and Luhansk, which before the invasion were already partly controlled by Russian-backed separatists.

On Sunday, police in the Donetsk region said that over the past 24 hours Russian forces opened fire on 13 settlements under Ukrainian control, killing two civilians.

Elsewhere in Ukraine, there were more reports on Sunday of Russian strikes around major population centres.


Local media reported an explosion in Kyiv, though deputy mayor Mykola Povoroznyk said air defence systems had thwarted Russian attacks. The mayor of Brovary city, close to Kyiv, said a missile attack had damaged infrastructure.

Russia said it had destroyed an ammunition factory near the capital, according to the RIA news agency.

Shelling in Ukraine’s second biggest city, Kharkiv, killed five people and injured 13, Ukrainian public broadcaster Suspilne reported.
 
Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification".

Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini pia kutekwa kwa mji huo utasababisha Crimea kuwa na njia ya nchi kavu kuelekea jimbo la Donbass lililojitangazia uhuru. Lakini pia inaifanya Ukraine kukosa mlango wa kuingilia baharini na kuifanya kuwa landlocked.

Wanazi hawa wamshukuru Putin aliyezuia mipango ya kamanda wa urusi aliyetaka kusawazisha majengo yote ya Kiwanda cha chuma cha pua ambako wapiganaji wa kinazi wa ukraine wamejichimbia. Putin akasema maadam mmeteka sehemu zote, wazingireni tu kwenye hayo majengo ya kiwanda watajifia wenyewe au kujisalimisha.

Bila hivyo saa hii dunia ingetaharuki. Maana wanazi hao wanawashikilia pia raia kama 1000 kama ngao yao. Ukisawazisha kiwanda hicho na raia wote hao wanakufa. Raia wataendelea kupewa nafasi ya kutoka japo wanazi wamekuwa wakiwazuia. Ona hapa:

Mariupol captured — Russia​

About 2,000 encircled militants, at Azovstal steel plant, are last Ukrainian hold-outs, Putin is told
Mariupol captured — Russia

The territory of the Azovstal steel plant in Mariupol. [emoji2398] Sputnik / Ilya Pitalev
Russian forces have fully captured the key Donbass Black Sea port-city of Mariupol, Defense Minister Sergey Shoigu told President Vladimir Putin on Thursday.

Wapiganaji hao wa kinazi wameomba jumuia ya kimataifa isimamie utokaji wao wakiwa na silaha zao kwenye kiwanda hicho, jambo ambalo urusi imekataa.

Imesema aidha wajisalimishe au waishie humo! Inasemekana wameishiwa chakula na maji maana walizingirwa tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, sema tu walikuwa na akiba kubwa ya silaha na vyakula.

Hakuna upenyo wa kuwafikishia misaada!
Mungu ibariki Russia
 
Mariupol haujachukuliwa raisi Zelensnkyy kaongea mbele ya TV walichofanya wamezingira kiwanda cha chuma ambacho hadi sasa Askari wa Ukraine wapo na wanaendelea kupigana na Jeshi la Russia

Sehemu zingine za mariupol vita inaendelea
Ha ha ha ha huu si ushabiki utakuwa mgonjwa
 
Mariupol haujachukuliwa raisi Zelensnkyy kaongea mbele ya TV walichofanya wamezingira kiwanda cha chuma ambacho hadi sasa Askari wa Ukraine wapo na wanaendelea kupigana na Jeshi la Russia

Sehemu zingine za mariupol vita inaendelea
Hahahaha vitendo vinazungumza....maneno yako kuwa Mariipol haijachukuliwa hayana maana yoyote ile ikiwa mji umechukuliwa...
 
Back
Top Bottom