Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Huo mji inamaana wanauteka kila siku kwa sababu toka vita imeanza kila siku wanasema umeuteka huo mji. Na ukijaribu kulifuatilia hili swala rais wa Ukraine huwa analipinga mara kwa mara.
Na ikumbukwe warusi ni waongo balaa juzi tu meli yao ililipuliwa na wanajeshi wa Ukraine lakini hilo warusi walipinga wanasema ilijilipua yenyewe.
Na unaweza usikie huo mji Leo wanasema warusi wameuteka mara kesho tunasikia umerudi tena Ukraine.
Wasema!!!??
FB_IMG_16505433022315053.jpg
 
Ashukuru Mungu wale raia 1000, ndio maana Urusi kashindwa kupiga Bust bomber maana dunia ingemuona katili mbwa, ila kuna alternative ngoja tuwaue kwa njaa

Hata [emoji631] alitumia bunker buster bombs kule Iraq na huyo ndio Mbwa haswa kwani walikuwemo raia wa kawaida wakiwemo watoto wengi sana na zingine zilikuwa ni hospitali
Wakijua Hilo bado wakapiga tu
Putin ni top commander
 
America always huwa anamwagia petrol kwenye moto
Wanajua vita vizuri sana na matokeo yake na yajayo pia kwani ni mambo yanayojirudia kila vita tangu enzi na enzi lakini wanajitoa ufahamu tu

Ni hivi wametoa package ya $800m za silaha mpaka ghost drones kwa kuwasaidia Ukraine
Lakini wanajua fika mwisho wa siku silaha hizo atazikamata Mrusi na kuzitumia against Ukrainians

Haya yametokea Iraq, Syrië, Afghanistan na kwingineko anapopeleka silaha
Swali je anafanya makusudi? Ili silaha ziuwe pande zote?

Malengo yake ni nini? Na huo anauita msaada wa kijeshi why weapons?
Kwanini asisaidie kwa mengine
America anapenda vita iendelee ili auze silaha zake kingine hana cha kuuza

Hivi umewahi kununua bidhaa gani made in USA?
Hata yeye anatoa bidhaa China ingawa ni nembo zake
 

Mnachekesha sana masheikh wa Bongo mjue, itazame hii ramani wapi hako kamji mnakojisifia kalipo, mlikwenda kuwaondoa manazi Ukraine na kuweka utawala mpya kwenye nchi ya watu, kilichowakuta sasa.

Where-is-Mariupol-on-map-Ukraine.jpg
 
kwahiyo baada ya mauriupol ni mji gani unafata kuchukuliwa nadhani MK254 anaweza kutujuza

Sheikh tazama Li-Ukraine lote kwenye hii ramani na hako kamji mnakojisifia baada ya kupoteza vyote mlivyopoteza, imeshindikana kuondoa manazi Ukraine au Kiev.

Where-is-Mariupol-on-map-Ukraine.jpg
 
Ukrainian forces holed up at the Azovstal steel plant in the Black Sea port city of Mariupol have outlined their conditions to leave the besieged location.

Late on Wednesday, Svyatoslav Palamar, the deputy commander of the neo-Nazi Azov regiment, released a new video address, stating that the troops were ready to leave the plant with the support of an unspecified “third party.” The fighters want to keep their personal weapons, as well as to evacuate their wounded.

Hawa wanaleta madai yasiyokubalika kwenye muktadha wa vita. Unayepigana naye akikuzidi nguvu ni kusal;imu amri tu na siyo kuleta masharti. Haiwezekani akuachie utoke na silaha zako uende unakotaka halafu ukajipange upya kisha urudi tena kwenye mapambano! Urusi imesema HAPANA!!
Hata we mkuuu huwez kubali mashart hayo
 
Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji mhimu wa Mariupol. Umuhimu wa tukio hili ni kuwa hii inawakilisha kushindwa wa wanazi mamboleo wenye itikadi kali. Wanazi hawa waliokuwa wanaulinda mji huo ndio walikuwa lengo la Putin la "denazification".

Kwa hiyo lengo hilo linakuwa limetimia. Lakini pia kutekwa kwa mji huo utasababisha Crimea kuwa na njia ya nchi kavu kuelekea jimbo la Donbass lililojitangazia uhuru. Lakini pia inaifanya Ukraine kukosa mlango wa kuingilia baharini na kuifanya kuwa landlocked.

Wanazi hawa wamshukuru Putin aliyezuia mipango ya kamanda wa urusi aliyetaka kusawazisha majengo yote ya Kiwanda cha chuma cha pua ambako wapiganaji wa kinazi wa ukraine wamejichimbia. Putin akasema maadam mmeteka sehemu zote, wazingireni tu kwenye hayo majengo ya kiwanda watajifia wenyewe au kujisalimisha.

Bila hivyo saa hii dunia ingetaharuki. Maana wanazi hao wanawashikilia pia raia kama 1000 kama ngao yao. Ukisawazisha kiwanda hicho na raia wote hao wanakufa. Raia wataendelea kupewa nafasi ya kutoka japo wanazi wamekuwa wakiwazuia. Ona hapa:

Mariupol captured — Russia​

About 2,000 encircled militants, at Azovstal steel plant, are last Ukrainian hold-outs, Putin is told
Mariupol captured — Russia

The territory of the Azovstal steel plant in Mariupol. © Sputnik / Ilya Pitalev
Russian forces have fully captured the key Donbass Black Sea port-city of Mariupol, Defense Minister Sergey Shoigu told President Vladimir Putin on Thursday.

Wapiganaji hao wa kinazi wameomba jumuia ya kimataifa isimamie utokaji wao wakiwa na silaha zao kwenye kiwanda hicho, jambo ambalo urusi imekataa.

Imesema aidha wajisalimishe au waishie humo! Inasemekana wameishiwa chakula na maji maana walizingirwa tangu mwanzoni mwa mwezi wa tatu, sema tu walikuwa na akiba kubwa ya silaha na vyakula.

Hakuna upenyo wa kuwafikishia misaada!
mji mdogo sana ni kama katavi kwa hapa bongo
 
Back
Top Bottom