Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Hatimaye majeshi ya Urusi yameuteka mji muhimu wa Mariupol

Kama wanaongopa basi ni muda mzuri kwa ukraine kuonyesha ukweli.wanatakiwa wanajeshi wa ukraine wakachukue video wakiwa kwenye jengo la halmashauri ya jiji la mariupol ili tuamini kuwa warusi waongo
Huo mji inamaana wanauteka kila siku kwa sababu toka vita imeanza kila siku wanasema umeuteka huo mji. Na ukijaribu kulifuatilia hili swala rais wa Ukraine huwa analipinga mara kwa mara.
Na ikumbukwe warusi ni waongo balaa juzi tu meli yao ililipuliwa na wanajeshi wa Ukraine lakini hilo warusi walipinga wanasema ilijilipua yenyewe.
Na unaweza usikie huo mji Leo wanasema warusi wameuteka mara kesho tunasikia umerudi tena Ukraine.
 
Kama wanaongopa basi ni muda mzuri kwa ukraine kuonyesha ukweli.wanatakiwa wanajeshi wa ukraine wakachukue video wakiwa kwenye jengo la halmashauri ya jiji la mariupol ili tuamini kuwa warusi waongo
Inamaana ww unataka Ukraine kila wanachofanya wawe wanatupia video mtandaoni
 
Sheikh tazama Li-Ukraine lote kwenye hii ramani na hako kamji mnakojisifia baada ya kupoteza vyote mlivyopoteza, imeshindikana kuondoa manazi Ukraine au Kiev.

Where-is-Mariupol-on-map-Ukraine.jpg
Mariupol haujachukuliwa raisi Zelensnkyy kaongea mbele ya TV walichofanya wamezingira kiwanda cha chuma ambacho hadi sasa Askari wa Ukraine wapo na wanaendelea kupigana na Jeshi la Russia

Sehemu zingine za mariupol vita inaendelea
 
kwahiyo baada ya mauriupol ni mji gani unafata kuchukuliwa nadhani MK254 anaweza kutujuza
KYIV, Ukraine — Russian President Vladimir Putin tried to claim victory in the strategic port of Mariupol on Thursday, even as he ordered his troops not to storm the last pocket of Ukrainian resistance in the war's iconic battleground.

Russian troops have besieged the southeastern city since the early days of the conflict and largely pulverized it — and top officials have repeatedly indicated it was about to fall, but Ukrainian forces stubbornly held on. In recent weeks, they holed up in a sprawling steel plant, and Russian forces pounded the industrial site and repeatedly issued ultimatums ordering the defenders to surrender.

Putin said that, for now, he would not risk sending troops into the warren of tunnels under the giant Azovstal plant, instead preferring to isolate the holdouts who have captivated the world's attention "so that not even a fly comes through." His defense minster said the plant was blocked off, while giving yet another prediction that the site could be taken in days

Putin's order may mean that Russian officials are hoping they can wait for the defenders to surrender after running out of food or ammunition. Bombings of the plant could well continue.

Russian Defense Minister Sergei Shoigu said about 2,000 Ukrainian troops remained in the plant, which has a labyrinth of tunnels and bunkers that spread out across about 11 square kilometers (4 square miles). Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said that about 1,000 civilians were also trapped there.
 
utin yafaa apewe tuzo ya Nobel,

Ni ubindamu wa hali ya juu Sana anawafanyia askali wa Ukraine

Maana ake Apo watajiua wenywe kwa kiburi Chao, yeye hatahusika
emoji4.png
Wendawazimu wapo wengi kwelikweli nchi hii! Mh! Eee Mola wetu wajalie ufahamu japo waweze kujitambua japo kwa 20%
 
America always huwa anamwagia petrol kwenye moto
Wanajua vita vizuri sana na matokeo yake na yajayo pia kwani ni mambo yanayojirudia kila vita tangu enzi na enzi lakini wanajitoa ufahamu tu

Ni hivi wametoa package ya $800m za silaha mpaka ghost drones kwa kuwasaidia Ukraine
Lakini wanajua fika mwisho wa siku silaha hizo atazikamata Mrusi na kuzitumia against Ukrainians

Haya yametokea Iraq, Syrië, Afghanistan na kwingineko anapopeleka silaha
Swali je anafanya makusudi? Ili silaha ziuwe pande zote?

Malengo yake ni nini? Na huo anauita msaada wa kijeshi why weapons?
Kwanini asisaidie kwa mengine
America anapenda vita iendelee ili auze silaha zake kingine hana cha kuuza

Hivi umewahi kununua bidhaa gani made in USA?
Hata yeye anatoa bidhaa China ingawa ni nembo zake
Sasa mmarekani unataka nae atengeneze toothpick kwel, yeye alishahama huko uchumi wake nimkubwa ukitaka anakuuzia Boeing au space x
 
Mariupol haujachukuliwa raisi Zelensnkyy kaongea mbele ya TV walichofanya wamezingira kiwanda cha chuma ambacho hadi sasa Askari wa Ukraine wapo na wanaendelea kupigana na Jeshi la Russia

Sehemu zingine za mariupol vita inaendelea
Sikusikia hii habari pengine popote kuwa huo mji umechukuliwa na Russia zaidi ya hapa JF.
 
Yule rais nawasi wasi alichomekwa tu wala sio raia wa ukrain ndio maana amekosa huruma na nchi yake pamoja na raia,
True ni tskataka ya nato ni kama tz tu sa100 ni takataka ya msoga
 
Sasa mmarekani unataka nae atengeneze toothpick kwel, yeye alishahama huko uchumi wake nimkubwa ukitaka anakuuzia Boeing au space x

Hizo hazitoshi kwa ukubwa wao ndio maana unaona kuna umasikini sana na mauwaji
Marekani anaishi kiujanja ujanja mpaka aibe mafuta Middle East au achonganishe watu

Hawezi kujitegemea bila wizi period
 
Kama sehemu gani ambayo vita inaendelea kwa sasa?
Mariupol haujachukuliwa raisi Zelensnkyy kaongea mbele ya TV walichofanya wamezingira kiwanda cha chuma ambacho hadi sasa Askari wa Ukraine wapo na wanaendelea kupigana na Jeshi la Russia

Sehemu zingine za mariupol vita inaendelea
 
Russia, thanks for restoring humanity on earth planet, west stop exploiting your fellow human being
Wazungu wa kwa mtogole ni shida. Hivi umeona miji ya Ukraine ilivyokuwa magofu? Umeona watu raia walivyokufa kwenye hii vita? Umeona lakini watu wamekimbia makazi na kwenda ukimbizini?

Hebu fikiria kama hiyo Mariupol ingekuwa ndio DSM halafu mzungu akaandika ulichoandika.

So hii ndio restoration ya humanity? Kama unadhani hii ndio restoration ya humanity jikagie kama wewe sio ukoo mmoja na ibilisi!
 
Kama sehemu gani ambayo vita inaendelea kwa sasa?

Refocus on eastern provinces​

Despite the desperate situation in Mariupol, Ukraine said it was holding off Russian forces in other parts of the Donbas regions of Donetsk and Luhansk, which before the invasion were already partly controlled by Russian-backed separatists.

On Sunday, police in the Donetsk region said that over the past 24 hours Russian forces opened fire on 13 settlements under Ukrainian control, killing two civilians.

Elsewhere in Ukraine, there were more reports on Sunday of Russian strikes around major population centres.


Local media reported an explosion in Kyiv, though deputy mayor Mykola Povoroznyk said air defence systems had thwarted Russian attacks. The mayor of Brovary city, close to Kyiv, said a missile attack had damaged infrastructure.

Russia said it had destroyed an ammunition factory near the capital, according to the RIA news agency.

Shelling in Ukraine’s second biggest city, Kharkiv, killed five people and injured 13, Ukrainian public broadcaster Suspilne reported.
 
Mi nilichofurahi si tu warusi kuchukua huu mji wa Mariupol bali kuteketeza kabisa kikosi chenye dharau na roho mbaya.

AZOV BATTALION
images%20(10).jpeg
images%20(9).jpeg
 
KYIV, Ukraine — Russian President Vladimir Putin tried to claim victory in the strategic port of Mariupol on Thursday, even as he ordered his troops not to storm the last pocket of Ukrainian resistance in the war's iconic battleground.

Russian troops have besieged the southeastern city since the early days of the conflict and largely pulverized it — and top officials have repeatedly indicated it was about to fall, but Ukrainian forces stubbornly held on. In recent weeks, they holed up in a sprawling steel plant, and Russian forces pounded the industrial site and repeatedly issued ultimatums ordering the defenders to surrender.

Putin said that, for now, he would not risk sending troops into the warren of tunnels under the giant Azovstal plant, instead preferring to isolate the holdouts who have captivated the world's attention "so that not even a fly comes through." His defense minster said the plant was blocked off, while giving yet another prediction that the site could be taken in days

Putin's order may mean that Russian officials are hoping they can wait for the defenders to surrender after running out of food or ammunition. Bombings of the plant could well continue.

Russian Defense Minister Sergei Shoigu said about 2,000 Ukrainian troops remained in the plant, which has a labyrinth of tunnels and bunkers that spread out across about 11 square kilometers (4 square miles). Ukrainian President Volodymyr Zelenskyy said that about 1,000 civilians were also trapped there.
Kweli nimeona kazi Urusi anayo inaonekana hawezi ingia kabisa. Humo ndani ukute watu wana misosi ya hadi mwaka. Vinginevyo wangeshajitokeza juu.
 
Back
Top Bottom