Zemanda
JF-Expert Member
- Jan 10, 2021
- 8,323
- 18,051
Ni cross model. Yaani mixer ya Sedan na SUV. Watu hawaelewi wanataja tu majina.Hio CX-5 nayo ni SUV?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni cross model. Yaani mixer ya Sedan na SUV. Watu hawaelewi wanataja tu majina.Hio CX-5 nayo ni SUV?
Wesenge sana wale jamaa wanatabia za kike sana sijui kwenye vikao vyao huwa ni wanawake ndio wanapanga maana wanakujaga na maamuzi ya kidangaji sana kutamani hela za wanaume.Wapandishe mara ngapi? Sahivi. 2012 na 13 Ushuru Mil 14. Ngoja tuone.
Hawana hata la maana na hawajielewi wanachopanga. We unalipishaje magharama ya hovyo kama hivyo.Mfano CX5 ya 2012
View attachment 2935503
Hafu ya 2014
View attachment 2935504
Hafu ya 2015
View attachment 2935505
Sijui ata wanapangaje hawa jamaa izi kodi.
Ile ni Cross SUV. Kama Subaru ForesterCompact mid SUV
Ni kubwa kwa Dualis, inakaribia size ya Vanguard au Rav4 miss Tanzania.Shida ya Mazda CX-5 ni kaumbo kake kama cha Dualis harafu mil 30-40
Kuanzia 26 hadi 40 kutegemea na mwaka na auction grade gani ipo!Bei yake ni TZS ngapi hicho kigari ?
Kwa ushauri wako kati ya Subaru foresta na hiyo Mazda Cx-5 ipi the best kwenye mambo yote consumption spea na mengineKuanzia 26 hadi 40 kutegemea na mwaka na auction grade gani ipo!
Ni cross model. Yaani mixer ya Sedan na SUV. Watu hawaelewi wanataja tu majina.
Bei yake ni TZS ngapi hicho kigari ?
Spacio sio mini SUV, hiyo ina belong class ya akina RAV 4, suzuki vitara, foresterIle si kama Spacio tu?
Kwa ushauri wako kati ya Subaru foresta na hiyo Mazda Cx-5 ipi the best kwenye mambo yote consumption spea na mengine
Ina maana mpaka kuifikisha TZ na kuimiliki ni kama 27m...?Mfano CX5 ya 2012
View attachment 2935503
Hafu ya 2014
View attachment 2935504
Hafu ya 2015
View attachment 2935505
Sijui ata wanapangaje hawa jamaa izi kodi.
Kinaenda TZS ngapi kikiwa kimetoka huko kwao ?Mazda CX 5 sio kigari, ni gari yenye size kubwa kuliko Dualis, urefu kama wa Rav4
Jiandae na milioni 28-35Kinaenda TZS ngapi kikiwa kimetoka huko kwao ?
Chukua Mazda ni ngumu.Kwa ushauri wako kati ya Subaru foresta na hiyo Mazda Cx-5 ipi the best kwenye mambo yote consumption spea na mengine
Duh ndio zimepanda hivyo?Kuanzia 26 hadi 40 kutegemea na mwaka na auction grade gani ipo!