Manual ni gari ya bei juu kuliko automatic mzee. Na hio 14M ni before Tax. Ikitua anaongezea hela.Mbona naona kama hiyo gari haiendani na pesa hiyo uliyoitaja
2008 ? huna haja hata ya kumshangaa wa 1999 msichekane.. πππππ nyie dugu moja tuAisee kumbe yako afadhali....sema ndo hivyo uchumi wetu unatubana, yangu ya 2008.
2008 ? huna haja hata ya kumshangaa wa 1999 msichekane.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nyie dugu moja tu
Umeona ni ya mwaka gani na bei yake ilivyo pendeza πππHa ha huyu katisha sana..
Umeona ni ya mwaka gani na bei yake ilivyo pendeza [emoji3][emoji3][emoji3]
Kuna mambo yanashangaza sana, hiyo bei imesimama sio mchezo [emoji3][emoji3]
Ni wachache sanaHata hiyo utaazimwa tu
Gari ya ndoto yangu hiyo14 milioni Kwa Carina ya 1999?
Why??
Chombo Nimeielewa Manual
Gear Tele Mpaka Raha, Ukiingia Barabarani Unamwaga Maji Golini Tu. Hongera Sana, Usisahau Kuifanyia Ibada Ndog
Ibada ya nini mzee ? Mimi Sina diniChombo Nimeielewa Manual
Gear Tele Mpaka Raha, Ukiingia Barabarani Unamwaga Maji Golini Tu. Hongera Sana, Usisahau Kuifanyia Ibada Ndogo
Ya zamani ? Tengeneza yako mpya1999?????? Ni ya zamani kuliko. Ni sawa kununua zile simu za Siemens za zamani wakati watu wana dunda na Iphone12??
Yap chombo imesimama1999?? [emoji3][emoji3][emoji3]
Na Mimi nimenunua manual ili nisiazimwe ..jamaa zangu wa karibu wote hawawezi kuendesha manualKwa machizi boti lazma wataazima chombo tu hasa wale wazee wa 3 pedals. πππ!!!
Kwamie binafsi ntaangalia tu chombo ya fundi maana sina ujanja wa kukoroga stiki. Nmeshazoea kuendeshea herufi pendwa (D) sio kuendesha kwa namba.
14 milioni Kwa Carina ya 1999?
Why??
Niliuliza automatic bei zinacheza mil 5 mpka mil 8..Mbona naona kama hiyo gari haiendani na pesa hiyo uliyoitaja
Tatizo wanachukulia gari ikiwa ya zamani Basi na bei lazima iwe ndogo,kuna Land Rover defender ya 1990 inacheza mil 110Hii mbona ya kitambo sanaa... zaidi ya mshikaji wa carina ? ππ.. uzamani sana sio deal jamaa katimiza ndoto kama atae timiza kwa huyu mnyama chini
View attachment 1626690
Kwa bei hiyo ya manual Si bora ungenunua auto mbili wakikuazima unawapa mojaNiliuliza automatic bei zinacheza mil 5 mpka mil 8..
Za manual zinacheza 12ml mpka 35mil.nimeamua nichukue manual ili watu wasiniazime Sana maana Nina ndugu na rafiki hawawezi kusukuma manual
Wame kalili tuTatizo wanachukulia gari ikiwa ya zamani Basi na bei lazima iwe ndogo,kuna Land Rover defender ya 1990 inacheza mil 110
Hahahah umeweza hapoNa Mimi nimenunua manual ili nisiazimwe ..jamaa zangu wa karibu wote hawawezi kuendesha manual