Hatimaye mdogo wenu nakaribia kumiliki gari ya ndoto yangu

mzee, ukitaka uichukie tthree pedals basi kutana na foleni mliman afu nyuma yako kuna gari imekusogelea ziro distance asee ile kasheshe sio kabisa
Inategemea na uzoefu wako wa kuendesha manual car. Kama ni gari yako ya kila siku sidhani kama itakupa shida kwa sababu unakua umezoea jinsi ya kubalance clutch na mafuta.
 
we mwanamke unapenda ngono kuliko ngono yenyewe inavojipenda[emoji3]

Thaanaaa aiseeeeh, yaani nabalansisha chakula cha jikoni na chumbani, vyote navipenda na natumia muda mwingi kujifunza mapishi ya vyakula vyote hivyo.
Namna naongezea madikodiko na manjonjo vile pishi langu la jikoni na chumbani litakuwa tafauti na pishi lingine, basi tuu napenda mapochopocho ya mezani na kitandani.
Na nnavyojua kukombelezea sasa, aahahahahahhaaaa.

Maamaaaaah nimejisahau kumbe niko jukwaani looh, nsijemwaga siri bureeeee, kwaheriiii.
 
1. Kumbika inatumia mafuta hiyo!!
2. Kumbuka kuna kumwaga oil!!
3. Kumbuka huharika hiyo!!
4. Taili nazo huwa zinaisha!!

Haya wewe furahia kuinunua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…