Hatimaye mdogo wenu nakaribia kumiliki gari ya ndoto yangu

Hatimaye mdogo wenu nakaribia kumiliki gari ya ndoto yangu

Thaanaaa aiseeeeh, yaani nabalansisha chakula cha jikoni na chumbani, vyote navipenda na natumia muda mwingi kujifunza mapishi ya vyakula vyote hivyo.
Namna naongezea madikodiko na manjonjo vile pishi langu la jikoni na chumbani litakuwa tafauti na pishi lingine, basi tuu napenda mapochopocho ya mezani na kitandani.
Na nnavyojua kukombelezea sasa, aahahahahahhaaaa.

Maamaaaaah nimejisahau kumbe niko jukwaani looh, nsijemwaga siri bureeeee, kwaheriiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera sana mkuu ,angalia pia usije na wewe wakakuachia "MOTO" aka WAYA aka UMEME.
 
Thaanaaa aiseeeeh, yaani nabalansisha chakula cha jikoni na chumbani, vyote navipenda na natumia muda mwingi kujifunza mapishi ya vyakula vyote hivyo.
Namna naongezea madikodiko na manjonjo vile pishi langu la jikoni na chumbani litakuwa tafauti na pishi lingine, basi tuu napenda mapochopocho ya mezani na kitandani.
Na nnavyojua kukombelezea sasa, aahahahahahhaaaa.

Maamaaaaah nimejisahau kumbe niko jukwaani looh, nsijemwaga siri bureeeee, kwaheriiii.
😅😅😅 serekali iendelee tu kukataza yale majani
 
Yale mambo ya kuugua usiku unapoteza fahamu gari unalo ila hakuna anayeweza kuendesha manual, si mke wala jirani.
 
6 gears najiona transpoter nikianza mambo hangu road hapa na hapa na tia mzigo
 
Back
Top Bottom