Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gari ya 1999 inakuwaje mpya?Kataka "mpya", ushuru mkubwa. Not the greatest of decision in my opinion for that price, but it's his dream car as he said.
.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Thaanaaa aiseeeeh, yaani nabalansisha chakula cha jikoni na chumbani, vyote navipenda na natumia muda mwingi kujifunza mapishi ya vyakula vyote hivyo.
Namna naongezea madikodiko na manjonjo vile pishi langu la jikoni na chumbani litakuwa tafauti na pishi lingine, basi tuu napenda mapochopocho ya mezani na kitandani.
Na nnavyojua kukombelezea sasa, aahahahahahhaaaa.
Maamaaaaah nimejisahau kumbe niko jukwaani looh, nsijemwaga siri bureeeee, kwaheriiii.
😅😅😅 serekali iendelee tu kukataza yale majaniThaanaaa aiseeeeh, yaani nabalansisha chakula cha jikoni na chumbani, vyote navipenda na natumia muda mwingi kujifunza mapishi ya vyakula vyote hivyo.
Namna naongezea madikodiko na manjonjo vile pishi langu la jikoni na chumbani litakuwa tafauti na pishi lingine, basi tuu napenda mapochopocho ya mezani na kitandani.
Na nnavyojua kukombelezea sasa, aahahahahahhaaaa.
Maamaaaaah nimejisahau kumbe niko jukwaani looh, nsijemwaga siri bureeeee, kwaheriiii.
😅😅😅 serekali iendelee tu kukataza yale majani
14 milioni Kwa Carina ya 1999?
Why??
Ni "mpya" sio mpya. "Mpya" kwetu na akisajili TRA anapata zake namba DU.... Hivyo ni "mpya" lakini sio mpya.Gari ya 1999 inakuwaje mpya?
Kumbe alikuwa anajimwambafai harafu anasema million kumi na NNE si bora nivute crown mnyamaUsed 1999 TOYOTA CARINA 1.6GT/GF-AT210 for Sale BH491341 - BE FORWARD
Used 1999 TOYOTA CARINA 1.6GT/GF-AT210 for sale. Find an affordable Used TOYOTA CARINA with No.1 Japanese used car exporter BE FORWARD.sp.beforward.jp
Dogo alikuwa anachangamsha genge tu.
Ndinga bado iko sokoni hiyo.
WACHAGA HAWANA MAJIGAMBO YA KISHAMBA HIVYO, LABDA USEME ANATOKEA KANDA TAWALA MAANA KULE NDIO ATA WAKINUNUA NDEGE DUNIA NZIMA ITATANGAZIWA.Mtoa mada kama sio mchaga mpare
Just imagine unadrive zako mikoani huko inakuovateki hiii...
Bila pesa hamna kituJust imagine unadrive zako mikoani huko inakuovateki hiii...
R32 sio??
Dah tutafte pesa wakulungwa tutafte pesaa