Hatimaye mechi ya Al Hilal vs Yanga kuonyeshwa live

Hatimaye mechi ya Al Hilal vs Yanga kuonyeshwa live

al hilal wajanja sana. wanajua demand ya hii mechi kuonekana kwa watz ni kubwa, wakatengeza tension kwa makusudi ili kuiongezea value. bila shaka azamtv watakiwa wamelipa pesa ili wauzie broadcast right.

NB: kitu ambacho watz wengi hawajui, mechi za CAF hatua za makundi, haki ya matangazo ipo chini ya timu mwenyeji.
Hatua za makundi au hatua za awali za mtoano kuelekea makundi? Maana kuanzia Makundi huwa tunaona kupitia Super sport.
 
KUMBE UWANJA WA AL HILAL UPO NDANI YA GEREZA[emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji27][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji170][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Hii wiki hawa jamaa ni wanyonge kama sio wao vile na mambo yakiharibika jmos ndio hatutawaona kabisa humu javini, tatizo wanakelele sana, we unakuwa na spidi alafu njia hujui unategemea nn lazima upotee
 
Namungo wako juu yenu nyie utopwinyo sema kuloga kwnu na kununua mechu ligi za ndani ndo mnajikuta

Namungo Wako Juu Ya Yanga Kwenye Lipi Labda? Makombe?,Ubora Wa Kikosi?,Wingi Wa Mashabiki?, Kimapato?, Kushiriki Mara Nyingi Mechi Za CAF? Au Kitu Gani?, Na Kama Yanga Inanunua Mechi Nyie Kwenye Zile Game Mbili Mlizopasuliwa Na Yanga Msimu Ulopita Mliwauzia Kwa Sh Ngapi? [emoji28]
 
Namungo wako juu yenu nyie utopwinyo sema kuloga kwnu na kununua mechu ligi za ndani ndo mnajikuta
Yap, kuna vibwengo vilithubutu kuwasha moto uwanjani mchana kweupe. Timu ya shetani, aka ibilisi
 
al hilal wajanja sana. wanajua demand ya hii mechi kuonekana kwa watz ni kubwa, wakatengeza tension kwa makusudi ili kuiongezea value. bila shaka azamtv watakiwa wamelipa pesa ili wauzie broadcast right.

NB: kitu ambacho watz wengi hawajui, mechi za CAF hatua za makundi, haki ya matangazo ipo chini ya timu mwenyeji.
hapo kwenye NB,
ni mechi za CAF hatua za awali, na sio hatua za makundi,

asante!
 
Namungo Wako Juu Ya Yanga Kwenye Lipi Labda? Makombe?,Ubora Wa Kikosi?,Wingi Wa Mashabiki?, Kimapato?, Kushiriki Mara Nyingi Mechi Za CAF? Au Kitu Gani?, Na Kama Yanga Inanunua Mechi Nyie Kwenye Zile Game Mbili Mlizopasuliwa Na Yanga Msimu Ulopita Mliwauzia Kwa Sh Ngapi? [emoji28]
Tafuta takwimu utajua hujui. Si mnawaona Agosto wadogo,hao alhilal sisi tushawachabanga 4
 
Baada ya vuta nikuvute hatimaye Al Hilal wamekubali Azam TV warushe matangazo ya moja kwa moja ya mechi ya mkondo wa pili huko Sudan dhidi ya Yanga SC. Kongole kwa Azam Media
Vuta nikuvute wapi wakati mlikuwa mnatafuta sympathy tu utafikiri tv ndio inacheza wakati hayo mambo ya kawaida tu hata Simba ilishayapitia Nigeria huko. Kachezeni mpira
 
Namungo Wako Juu Ya Yanga Kwenye Lipi Labda? Makombe?,Ubora Wa Kikosi?,Wingi Wa Mashabiki?, Kimapato?, Kushiriki Mara Nyingi Mechi Za CAF? Au Kitu Gani?, Na Kama Yanga Inanunua Mechi Nyie Kwenye Zile Game Mbili Mlizopasuliwa Na Yanga Msimu Ulopita Mliwauzia Kwa Sh Ngapi? [emoji28]
CAF ranking
 
Ndio game pekee yenye mvuto, nani anataka kupoteza muda kuangalia timu ya mayosso de agosto? Timu inaburuzwa mpaka na namungo ya kina Majogoro?
Kumbe Leo umejua Timu mbovu Kuhusu zolan umesahau
 
Vuta nikuvute wapi wakati mlikuwa mnatafuta sympathy tu utafikiri tv ndio inacheza wakati hayo mambo ya kawaida tu hata Simba ilishayapitia Nigeria huko. Kachezeni mpira

Sasa Simba Inashindwa Nn Kuchukua Ubingwa Huko CAF Kama ilishapitia Figisu Kama Hizo Na Bado Ikapata Matokeo Mazuri? [emoji28]
 
Vuta nikuvute wapi wakati mlikuwa mnatafuta sympathy tu utafikiri tv ndio inacheza wakati hayo mambo ya kawaida tu hata Simba ilishayapitia Nigeria huko. Kachezeni mpira
Kaa ujifunze kuandika mkuu. Waliokuwa wanapigania mechi ionyeshwe ni Azam Media kwa sababu za kibiashara. Sasa nani anatafuta sympathy hapo? Habari za Simba kutoonyesha mechi yao zinahusika hapa? Acha makasiriko, washutumu Azam Media.
 
Kumbe Leo umejua Timu mbovu Kuhusu zolan umesahau
Nimesahau nini tena? Kwani nimeshutumu ushindi wa mikia? Hapa tunaongelea mechi pekee yenye mvuto duniani. Hivi Wafaransa na Ulaya nzima wanajadili mechi hii huku wakibeti mayele atatupia hat trick.
 
Back
Top Bottom