Hatimaye mfumo wa Iron Dome kuwekwa katika eneo la Ghuba. Mzizi wa fitina kukatwa?

Hatimaye mfumo wa Iron Dome kuwekwa katika eneo la Ghuba. Mzizi wa fitina kukatwa?

Mm nimeweka udhaifu ulionao huo mfumo
Wewe ulitakiwa uje na hoja za kuutetea kwamba ni imara na kuweka mifano
halisi ili kutete hoja yako.
sasa ww una kuja na mipasho sijui mahaba sijui nn hivi una dhani hapa tupo fb?
""Mkuu huu mfumo ni dhaifu tu kama ulivyo mifumo mingine ya kimagharibi .
Hamas huwa wanaweza kurusha maroketi 100 lakini ukafanikiwa kiyaharibu maroketi hata 35 tu sema huwa hayaleti madhara makubwa kwa sababu yana uwezo mdogo wa kushababisha mlipuko.
sasa huoni ya kwamba huu ni udhaifu mkubwa?
Sasa kama unaonesha udhaifu mbele ya maroketi yanayo tengenezwa kienyeji, itaweza kuya dhibiti makombora yaliyo tengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu na yanayo tembea kwa kasi ? """



Kwa hiyo hiyo ndio hoja ambayo imeelezea udhaifu?? Kweli tuna africa tuna safari ndefu
 
From the time in antiquity, the onus of proof rests on the person making an allegation. Israel stated that, it's iron dome system of defense is designed to cater for infrastructures and populated areas. On the other hand, you claim such explanation is concocted, now present precise pieces of evidence for the refutation so that we can buy your argument.
Amigo - tell you what? Go straight to the point instead of wallowing in a Kangaroo court jargon!

Now, fast forward - Israelis too are doubtful about the efficiency of its Iron Dome after failures to intercept all the rockets fired from GAZA, FYI Hamas militant are mega smart upstairs, they devised ways and means to overwhelm Iron Dome air defense system - na kusema kweli walifanikiwa - need I say more...
 
""Mkuu huu mfumo ni dhaifu tu kama ulivyo mifumo mingine ya kimagharibi .
Hamas huwa wanaweza kurusha maroketi 100 lakini ukafanikiwa kiyaharibu maroketi hata 35 tu sema huwa hayaleti madhara makubwa kwa sababu yana uwezo mdogo wa kushababisha mlipuko.
sasa huoni ya kwamba huu ni udhaifu mkubwa?
Sasa kama unaonesha udhaifu mbele ya maroketi yanayo tengenezwa kienyeji, itaweza kuya dhibiti makombora yaliyo tengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu na yanayo tembea kwa kasi ? """



Kwa hiyo hiyo ndio hoja ambayo imeelezea udhaifu?? Kweli tuna africa tuna safari ndefu

Well said mkuu, watu wabishi tu - wanao sifia uwezo wa Iron Dome ni wauundaji wa system yenyewe yaani kampuni ya "Rafael Advanved Defense" wanaipigia debe kwa ajili ya biashara tu, lakini system hiyo wala si game changer wala nini sijui? Hata Jeshi la Merikani walinunua system mbili tu kabla ya sakata la Maroketi ya Gaza, baada ya kushudia ufanisi hafifu wa Iron Dome, jeshi la Merikani ikasitisha mkataba wa kununua Iron Dome nyingine kutoka Israel, mpaka sasa Israel ilifanikiwa kuuza Iron Dome katika taifa moja tu - Malaysia basi.
 
""Mkuu huu mfumo ni dhaifu tu kama ulivyo mifumo mingine ya kimagharibi .
Hamas huwa wanaweza kurusha maroketi 100 lakini ukafanikiwa kiyaharibu maroketi hata 35 tu sema huwa hayaleti madhara makubwa kwa sababu yana uwezo mdogo wa kushababisha mlipuko.
sasa huoni ya kwamba huu ni udhaifu mkubwa?
Sasa kama unaonesha udhaifu mbele ya maroketi yanayo tengenezwa kienyeji, itaweza kuya dhibiti makombora yaliyo tengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu na yanayo tembea kwa kasi ? """



Kwa hiyo hiyo ndio hoja ambayo imeelezea udhaifu?? Kweli tuna africa tuna safari ndefu
Acha Ujuaji wa kijinga, mm nimetoa mifano halisi ili kuthibitisha jinsi ulivyo dhaifu.
Sasa na ww unatakiwa kuleta mifano halisi ili kudhibitisha uimara wake.
 
Mkuu utajisumbua kutoa maelezo mengi sana lakini haitaondoa ukweli ya kwamba mifumo ya ulinzi ya kimagharibi ubora wao upo kwenye vitabu tu na si kwenye uhalisia.
Maelezo yangu yameambatana na swali hili; huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje?

Hukuliona swali? Ama halijibiki?

Rejea kwenye post yako ya kwanza kabisa kisha utupatie majibu ya swali hili kwa kurejea ulichokisema kwenye post hiyo. Naamini majibu juu ya swali hilo yatakuwa msaada kwa wengi!

Mimi wala sijisumbui kwa chochote, huu ni mjadala wa wazi kwa yeyote anayefikiri ana ufahamu juu ya mambo haya. Hata kwa ambaye anafikiri hafahamu chochote, pia anaruhusiwa kusoma na si lazima atoe maoni yake.

Unazungumzia "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" kwamba ni dhaifu, nami nikakuambia kuwa mifumo yote ya ulinzi wa anga unayoiona na kuisikia ni dhaifu ndio maana inapitia kwenye mabadiliko mbalimbali ya uboreshaji kila baada ya muda. Hii ni fact! Ni ukweli usiopingika.

Huo "ukweli" unaousema wewe kuhusu "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ni hoja iliyo biased, yenye upendeleo wa kuonesha udhaifu wa upande mmoja pekee huku udhaifu wa upande mwingine ukifichwa kwa makusudi usionekane.

Kwa kifupi, hicho ulichokisema ni propaganda!

Mifumo mingineyo tofauti na "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ikoje? Umekwisha fanya utafiti na umeufanya utafiti huo kwa viwango na kiasi gani kuwa mifumo mingineyo tofauti na "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ni bora na haina udhaifu?

Bila kwenda mbali zaidi, kumbuka lile swali letu la awali: huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje? Karibu!
 
Amigo - tell you what? Go straight to the point instead of wallowing in a Kangaroo court jargon!

Now, fast forward - Israelis too are doubtful about the efficiency of its Iron Dome after failures to intercept all the rockets fired from GAZA, FYI Hamas militant are mega smart upstairs, they devised ways and means to overwhelm Iron Dome air defense system - na kusema kweli walifanikiwa - need I say more...
Only yapping and wallowing at the tune of village rumours and street gossips.
 
Maelezo yangu yameambatana na swali hili; huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje?

Hukuliona swali? Ama halijibiki?

Rejea kwenye post yako ya kwanza kabisa kisha utupatie majibu ya swali hili kwa kurejea ulichokisema kwenye post hiyo. Naamini majibu juu ya swali hilo yatakuwa msaada kwa wengi!

Mimi wala sijisumbui kwa chochote, huu ni mjadala wa wazi kwa yeyote anayefikiri ana ufahamu juu ya mambo haya. Hata kwa ambaye anafikiri hafahamu chochote, pia anaruhusiwa kusoma na si lazima atoe maoni yake.

Unazungumzia "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" kwamba ni dhaifu, nami nikakuambia kuwa mifumo yote ya ulinzi wa anga unayoiona na kuisikia ni dhaifu ndio maana inapitia kwenye mabadiliko mbalimbali ya uboreshaji kila baada ya muda. Hii ni fact! Ni ukweli usiopingika.

Huo "ukweli" unaousema wewe kuhusu "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ni hoja iliyo biased, yenye upendeleo wa kuonesha udhaifu wa upande mmoja pekee huku udhaifu wa upande mwingine ukifichwa kwa makusudi usionekane.

Kwa kifupi, hicho ulichokisema ni propaganda!

Mifumo mingineyo tofauti na "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ikoje? Umekwisha fanya utafiti na umeufanya utafiti huo kwa viwango na kiasi gani kuwa mifumo mingineyo tofauti na "mifumo ya ulinzi ya kimagharibi" ni bora na haina udhaifu?

Bila kwenda mbali zaidi, kumbuka lile swali letu la awali: huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje? Karibu!
Kama ulifuatiria vita ya 2014 kati ya Hamasi na Israel utanielewa ninacho kisema.
 
Hizo kambi hazikuwa zikilindwa na Thaad na hizo habari za kuua wanajeshi wengi zilikuwa propaganda tu za Iran maana hamna uthibitisho.
He goes "hizo habari ni propanganda" kwa hiyo Wairan ni waongo, hakuna kambi hata moja ya kijeshi ya Kimerikani ziliwahi kulipuliwa kwa makombora yaliyo vurumishwa kutoka Uajemi.

Unarudia usanii kama wa Trump aliye dai mwanzo kwamba habari za Iran kushambulia makambi ya jeshi la Merikani nchini Iraq hazina ukweli wowote, alipo banwa na wana habari wakiwa na ushahidi, Trump kabadirisha kauli yake na kudai kwamba mashambulizi ya makombora ya Iran hayakuleta madhara yoyote kwenye infrastructure pamoja na wanajeshi, siku mbili baadae picha za satellite zilionyesha jinsi makombora ya Iran yalivyo haribu runways pamoja na majengo muhimu ndani ya kambi.

Trump alipo kuwa cornerd kwa ushahidi wa picha zilizo pigwa na satellite,Trump kakubali kwamba ni kweli makambi yalishambuliwa lakini lakini hakuna mwanajeshi hata mmoja aliye pata madhala,wote wako salama, baadae habari zilipo vuja kwamba wanajeshi zaidi ya mia walikimbizwa kwenda kutibiwa kwenye Hospitali za huko Ulaya na Merikani wakiwa kwenye hali mbaya - Trump alikiri ukweli huo shingo upande.

Bottom line is: Kwa nini baadhi yenu zikitangazwa habari zinazo husu Iran,North Korea,China na Russia kuzi zidi kete Western Nations specifically US na Israel nyie mnachukulia habari/taarifa hizo kwamba ni propaganda lakini zikitangazwa taarifa/habari za kuchonga tu kuhusu Mataifa tajwa hapo juu mnaunga mkono without questions asked - strange, don't you think?
 
  • Thanks
Reactions: RTI
Huu mfumo bado dhaifu na sidhani kama utawe kukabiriana na makombora ya wahouth kule yemen wahouth wenyewe wapo vizur usiwafananishe na hamas hata kidogo
 
Kama ulifuatiria vita ya 2014 kati ya Hamasi na Israel utanielewa ninacho kisema.
Hilo si jibu sahihi la swali nililouliza.

Swali: huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje?

Unazungumzia vita ya 2014 ambayo Iron Dome iliripotiwa kuonesha uwezo wa takribani asilimia 90 kwa interceptions zaidi ya 700. Performance ambayo ilipelekea mfumo huo kupigiwa kura ya imani na Congress ya Marekani mwaka huo.

Kuna mchangiaji mwingine humu tofauti na wewe amedai kuwa mfumo umeshindwa ku-intercept rockets. Nimemuuliza maswali, huko kushindwa ni kwa namna gani? Hajajibu chochote mpaka sasa.

Wewe pia unadai mfumo umeshindwa, nimeuliza swali jepesi tu, umeshindwaje? Bado sijapatiwa majibu!

Swali bado linabaki palepale: huo mfumo ulioshindwa umeshindwaje?
 
Huu mfumo bado dhaifu na sidhani kama utawe kukabiriana na makombora ya wahouth kule yemen wahouth wenyewe wapo vizur usiwafananishe na hamas hata kidogo
Mifumo yote duniani ni dhaifu kwa namna yeyote ile. Hakuna mfumo uliokamilika kwa asilimia 100.

Lakini, kwanini wewe hudhani kama mfumo huu utaweza kukabiliana na makombora ya Wahouthi?
 
Linapokuja suala la Balistic speed yake ni ngumu sana kuyaintercept, ikiwa vijirocket vya hamas vinapenya hio itakua ni yaleyale mifuno yaliowekwa kwenye kambi za Marekani Iraq
 
kaamua tu kumuungisha biashara ndugu yake iron dome Ina fail Palestine makombora yakirushwa 5 inazuia 1 mengine yanapenya.
 
Kama mtu anaweza kuua watu wengi kwa bio weapons, terrorism, hilo dome ni obsolete tayari.
Kiranga
Huwa hatuzungushi fence ya umeme kwenye nyumba ili kuzuia wezi, hapana. Tunazungusha fence ya umeme ili ku-minimize the risk ya kuibiwa, yaani kumfanya mwizi asiweze kuiba kwa urahisi. Kwa namna pace ya technology ilivyo kwa sasa, it's no wonder kwamba kuna teknoloji ambazo zina-appear kuwa obselete hata kabla ya kuwa zimekuwa engaged kwenye matumizi yake halisi ziliyokusudiwa. Technology being obselete doesn't mean it's no longer useful, hapana.

Kuna mwandishi wa makala moja ndefu humu jukwaani aliwahi kusema kuwa "if you keep on the past, the future will never discover you" Kwa hiyo ninachelea kusema kuwa mpaka muda kuna uwezekano kuwa kuna teknolji ambazo ni obselete, lakini zinaweza zikawa bado ziko very useful kwenye mazingira fulani
Anyway, hoja yangu mimi hapa inajikita zaidi kwenye argument yako kuhusiana na obsolescence ya teknolojia
 
Kiranga
Huwa hatuzungushi fence ya umeme kwenye nyumba ili kuzuia wezi, hapana. Tunazungusha fence ya umeme ili ku-minimize the risk ya kuibiwa, yaani kumfanya mwizi asiweze kuiba kwa urahisi. Kwa namna pace ya technology ilivyo kwa sasa, it's no wonder kwamba kuna teknoloji ambazo zina-appear kuwa obselete hata kabla ya kuwa zimekuwa engaged kwenye matumizi yake halisi ziliyokusudiwa. Technology being obselete doesn't mean it's no longer useful, hapana.

Kuna mwandishi wa makala moja ndefu humu jukwaani aliwahi kusema kuwa "if you keep on the past, the future will never discover you" Kwa hiyo ninachelea kusema kuwa mpaka muda kuna uwezekano kuwa kuna teknolji ambazo ni obselete, lakini zinaweza zikawa bado ziko very useful kwenye mazingira fulani
Anyway, hoja yangu mimi hapa inajikita zaidi kwenye argument yako kuhusiana na obsolescence ya teknolojia
Matumizi ya teknolojia yanatakiwa kuongozwa na kitu kinaitwa "cost-benefit analysis".

Maana yake, usipofuata msingi huo, adui anaweza kutumia akili kukumaliza.

Anaweza kujua kwamba akikutisha kwa mabomu utatumia teknolojia ghali sana kujikinga kwa mabomu, mabomu ambayo hata hana nia ya kuyatumia na nia yake halisi ni kuumiza uchumi ako kwa kukufunga wewe ujiwekee teknolojia ghali sana ya kujilinda mpaka uchumi wako udorore.

Halafu yeye anakuwa ameshinda ukianguka kiuchumi.

Ndiyo maana nimewekea mkazo silaha ya majadiliano na matumizi ya diplomasia, ni silaha yenye faida nzuri sana katika "cost-benefit analysis", zaidi ya hayo ma dome ambayo mtu anaweza kukutisha uyaweke ili akufunge kwenye kuya maintain hayo madubwana, na uchumi wako udorore.
 
Matumizi ya teknolojia yanatakiwa kuongozwa na kitu kinaitwa "cost-benefit analysis".

Maana yake, usipofuata msingi huo, adui anaweza kutumia akili kukumaliza.

Anaweza kujua kwamba akikutisha kwa mabomu utatumia teknolojia ghali sana kujikinga kwa mabomu, mabomu ambayo hata hana nia ya kuyatumia na nia yake halisi ni kuumiza uchumi ako kwa kukufunga wewe ujiwekee teknolojia ghali sana ya kujilinda mpaka uchumi wako udorore.

Halafu yeye anakuwa ameshinda ukianguka kiuchumi.

Ndiyo maana nimewekea mkazo silaha ya majadiliano na matumizi ya diplomasia, ni silaha yenye faida nzuri sana katika "cost-benefit analysis", zaidi ya hayo ma dome ambayo mtu anaweza kukutisha uyaweke ili akufunge kwenye kuya maintain hayo madubwana, na uchumi wako udorore.
Anyway mimi sina knowledge ya kutosha kuhusiana na hizi domes, kwa sababu mimi siyo mwanajeshi. Are you saying, the domes are so expensive in such a way as to make the costs, coupled by the merits, of having them, being outweighed by the COST OF NOT HAVING THEM? Is this what you are actually trying to say here?

Na kwa nini wao kama wataalamu, wameamua kufanya kitu kama hiki, swali amblo si wewe sasa unayetakiwa kulijibu. Najaribu tu kujiuliza mimi mwenyewe kichwani
 
Back
Top Bottom