bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Nafikiri wanapewa guidance kwa kipindi cha mwaka mmoja (kipindi unachoshika taji), baada ya hapo.....hawana habari na wewe kwani wanakuwa wameshamaliza kukutumia!!
pity hapo kwenye red!!!!!!!
haya huyu naye bado analo taji na madudu ndo hayo!!!!!!!!!!!