The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
huyu ni mtoto tu sema ndo hivi wa siku hizi wajuaji kweli....(at that age sikuwa hata na bf jamani loh...sijui ndo ushamba)
jamani I saw her last week watu wakanicheka niliposema hee huyu binti mdomo kama wa Wema.........
amejikoba maana si kujichubua loh!!! wanaharibikiwa kabisa
sasa uniambie mzazi gani mwenye busara atataka mwane akashiriki upupu huu!!
vitoto vya siku hizi
vidogo lakini vinameza mihogo ya jango'mbe
saizi ya mama zao wakubwa....