Hatimaye Miss Tanzania 2009 apata dhamana

Hatimaye Miss Tanzania 2009 apata dhamana

maskini hawa mamiss wetu wanatia aibu sana mbona kina nancy ,kina dada senare,basira,hoyce,happiness magese hawakuwa hivi hawa wengine inakuwaje ?
 
Kabisa, kwa nchi zinazojali pulic image ya brand yao 'Vodacom Miss Tanzania', sasa hivi hawa jamaa wangekuwa wanahangaika sana kupata wadhamini....katika hali ya kawaida huwezi peleka pesa yako kwenye shindano kama hili lililochafuliwa na washindi karibu wote isipokuwa yule miss tanzania mwenye asili ya kihindi...na pengine Lundenga angelazimika kubadili hata jina la mashindano yake, mfumo mzima wa uandaaji na vigezo vya kupata washindi ili kuleta heshima ya shindano lenyewe na washiriki kwa ujumla.

Jamani! Yani mnataka kusema yule muhindi tu ndo anabehave!!! Au nini maana ya kubehave!! Kina Happyness Magese, Hoyce Temu, Angela Damas, Nancy Sumary(my no 1), Jokate M, Lisa Jensen, n.k mbona wamejitahidi mabinti wa watu kama kuna mnayockia ni kawaida tu mana wao sio mitume!

Wabovu wasemeni wazuri wapewe sifa zao na nazan hawa ndo sbb kubwa hata kamati haikuwai kufikiria kuweka sheria kali but now definately zitawekwa! If not
sizani kama wataeleweka mana huu mfululizo wa Nasreen!(sikumpenda kabisa) Wema s, then this mariam cjui! Loh they ar definately no..no..no..no...
 
Hakuna kitu kama umri mdogo, wao tabia zao ndio hivyo zilivyo, watoto wadogo wanaenda bar? Kuna wenye umri kama wao huko vijijini ni wamama na wanalea familia kabisa. Huku ni kulewa umaarufutu tu. Nakumbuka hata Hoyce Temu alimuuliza lecturer mlimani akae wapi wakati darasa likiwa limejaa na viti hamna. Mbona hakuuliza kabla ya kuwa miss. They are just joking with life halafu ukizingatia ni umaarufu wa only 1yr. Tumsubiri na yeye aingie kwenye bongo flavour au movie
 
Miss Tanzania is a waste of time... haina faida yoyote. Inapanga vicheche tuu wakulambwa na pedeshzee
 
Back
Top Bottom