Nafikiri wanapewa guidance kwa kipindi cha mwaka mmoja (kipindi unachoshika taji), baada ya hapo.....hawana habari na wewe kwani wanakuwa wameshamaliza kukutumia!!
afadhari ya hao wengine walisubiri hadi muda wao ulipopita ndo wakaanza maskandali yao........... Lakini huyu....dah..............hata mwaka bado tayari kizimbaniyale yale ya dadaa wema. Tutegemee scandal zaidi, hapo ni kama kafungua chapter 1...
Na huyo naye akichafua mtafanyaje..??? Maana hiyo mitoto hakuna hata mwenye afadhari.....yootee ipo ivo ivo tuuu................ mtahamisha hilo taji mpaka mtampa wa mwisho.............. naye ataharibu.............. Katika kumbukumbu zako, kuna miss TZ yeyote ambaye hajawahi kuharibu.......... kama yupo labda tumpe huyo....Mi nafikiri kamati ya hayo mashindano yawe serious kidogo huyo kashaharibu tayari wamvue tu na kumpa first runner-up ndo wakilishe nchi katiak maswala hayo ya unyange (dah hili neno kazi kweli almanusra nitukane hapo lol)
alifuata pipi darHuyu miss alihama mwanza?
Achana na kuhama......... kwanza huwa wanawamwaga maboifrendi wootee wa kabla ya umisi yaani wa zamani (tabia hii hata wanamuziki wanayo.....eg. SAIDA KALOLI)............pili wanahamia darisalama......... tatu wanachukuliwa kama si na mr tz basi Mr blue......GADNA........ usione Lundenga hayumo kwenye hii listi, yeye huwa anakuwa wa kwanza kumega............Huyu miss alihama mwanza?
Achana na kuhama......... kwanza huwa wanawamwaga maboifrendi wootee wa kabla ya umisi yaani wa zamani (tabia hii hata wanamuziki wanayo.....eg. SAIDA KALOLI)............pili wanahamia darisalama......... tatu wanachukuliwa kama si na mr tz basi Mr blue......GADNA........ usione Lundenga hayumo kwenye hii listi, yeye huwa anakuwa wa kwanza kumega............
Achana na kuhama......... kwanza huwa wanawamwaga maboifrendi wootee wa kabla ya umisi yaani wa zamani (tabia hii hata wanamuziki wanayo.....eg. SAIDA KALOLI)............pili wanahamia darisalama......... tatu wanachukuliwa kama si na mr tz basi Mr blue......GADNA........ usione Lundenga hayumo kwenye hii listi, yeye huwa anakuwa wa kwanza kumega............
Duu anatembea na vitoto vyake!
na wewe alivokuwa anapelekwa remand si ulisema unataka kwenda naye!!!
hukuona ni katoto kale???
Kwani unajua nimepisha miezi mingapi na Miss Ukorofi?
hahaaa eti miss ukorofi
ndio najua............si miongo kadhaaaaa??? usifikiri nimesahau umri wako
hahaaaaamwenzio ndo kwanza napata balehe!