Hatimaye Miss Tanzania 2009 apata dhamana


vitoto vya siku hizi
vidogo lakini vinameza mihogo ya jango'mbe
saizi ya mama zao wakubwa....
 
Unajipa fagizi eeeehhh when did u loose ur virginity If I may ask!

fagizi kwa nani sasa Masa!!!?? we unapenda sana kunikaba sijui unatafuta sababu ya kuniweka kwenye IL??

SIJIBU HILO SWALI HATA HIVO (kaaa ukijua sina tabia za upapara basi tu......)
 
vitoto vya siku hizi
vidogo lakini vinameza mihogo ya jango'mbe
saizi ya mama zao wakubwa....

ni kweli boss
malezi yamebadilika labda!!! (au hayapo kabisa)
 
fagizi kwa nani sasa Masa!!!?? we unapenda sana kunikaba sijui unatafuta sababu ya kuniweka kwenye IL??

SIJIBU HILO SWALI HATA HIVO (kaaa ukijua sina tabia za upapara basi tu......)

Duuu hapana best....nijibu basi! nitakununulia Jo Jo
 
Duuu hapana best....nijibu basi! nitakununulia Jo Jo
hata bazoka sitaki
nimesusa we wa kuniambia mi najipa fagizi kweli???

ngoja niondoke kabisa sasa
 
ni kweli boss
malezi yamebadilika labda!!! (au hayapo kabisa)
..... .Mungu atusaidie sisi ambao bado hatujazaa, maana unaweza kumlea mtoto wako vizuri lakini akishafika 18 tu anajiona amekuwa na kuwa na right ya kufanya maamuzi yake.
 
..... .Mungu atusaidie sisi ambao bado hatujazaa, maana unaweza kumlea mtoto wako vizuri lakini akishafika 18 tu anajiona amekuwa na kuwa na right ya kufanya maamuzi yake.

kazi ya kulea naona ngumu sana, at times huw anaogopa kwa kweli

Najua unamuwahi Bala nimemuona anapiga chabo!

eeeh huyo huyo ndo namuwahi maana saa nyingi nimemwambia tunatoka lakini hizi provocation zako hizi.................
 
kazi ya kulea naona ngumu sana, at times huw anaogopa kwa kweli.eeeh huyo huyo ndo namuwahi maana saa nyingi nimemwambia tunatoka lakini hizi provocation zako hizi.................

Duuu sisi wengine wazuri sana kule wewe tuzae tu wasio na idadi mimi nitalea!
 
Kuna vitu womens hawapendi kuulizwa
how many men u slept with?
how old are u?
are those ur real hair?

I know Boss!

Na Hata majibu yao wakikubali kuyatoa huwa ni uowongo 100%
 
Kuna vitu womens hawapendi kuulizwa
how many men u slept with?
how old are u?
are those ur real hair?
.........Sio wanawake wote hawapendi kuulizwa maswali hayo.Inategemea na muulizaji mwenyewe yupo serious au anauliza tu ilimradi.
 

Predeshee gani anataka kuniharibia binti yangu? Ebu mdau nitonye nihangaike naye, ndipo atajua kuwa maharage ni mboga au ni chakula!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…