huyu ni mtoto tu sema ndo hivi wa siku hizi wajuaji kweli....(at that age sikuwa hata na bf jamani loh...sijui ndo ushamba)
jamani I saw her last week watu wakanicheka niliposema hee huyu binti mdomo kama wa Wema.........
amejikoba maana si kujichubua loh!!! wanaharibikiwa kabisa
sasa uniambie mzazi gani mwenye busara atataka mwane akashiriki upupu huu!!
Unajipa fagizi eeeehhh when did u loose ur virginity If I may ask!
vitoto vya siku hizi
vidogo lakini vinameza mihogo ya jango'mbe
saizi ya mama zao wakubwa....
fagizi kwa nani sasa Masa!!!?? we unapenda sana kunikaba sijui unatafuta sababu ya kuniweka kwenye IL??
SIJIBU HILO SWALI HATA HIVO (kaaa ukijua sina tabia za upapara basi tu......)
hata bazoka sitakiDuuu hapana best....nijibu basi! nitakununulia Jo Jo
..... .Mungu atusaidie sisi ambao bado hatujazaa, maana unaweza kumlea mtoto wako vizuri lakini akishafika 18 tu anajiona amekuwa na kuwa na right ya kufanya maamuzi yake.ni kweli boss
malezi yamebadilika labda!!! (au hayapo kabisa)
hata bazoka sitaki
nimesusa we wa kuniambia mi najipa fagizi kweli???
ngoja niondoke kabisa sasa
Najua unamuwahi Bala nimemuona anapiga chabo!
hahaaaaaaaaaaa...Home B mkorofi wewe
..... .Mungu atusaidie sisi ambao bado hatujazaa, maana unaweza kumlea mtoto wako vizuri lakini akishafika 18 tu anajiona amekuwa na kuwa na right ya kufanya maamuzi yake.
Najua unamuwahi Bala nimemuona anapiga chabo!
kazi ya kulea naona ngumu sana, at times huw anaogopa kwa kweli.eeeh huyo huyo ndo namuwahi maana saa nyingi nimemwambia tunatoka lakini hizi provocation zako hizi.................
Wa kunyumba ! Mambo vipi? Nilikuwa namzeveza shem kwi kwi kwi kwi!
Mambo pouwa bana,nipo tu nasikilizia game ya ACM na Manure
Duuu hapana best....nijibu basi! nitakununulia Jo Jo
Kuna vitu womens hawapendi kuulizwa
how many men u slept with?
how old are u?
are those ur real hair?
.........Sio wanawake wote hawapendi kuulizwa maswali hayo.Inategemea na muulizaji mwenyewe yupo serious au anauliza tu ilimradi.Kuna vitu womens hawapendi kuulizwa
how many men u slept with?
how old are u?
are those ur real hair?
.........Sio wanawake wote hawapendi kuulizwa maswali hayo.Inategemea na muulizaji mwenyewe yupo serious au anauliza tu ilimradi.
I'm 25 years old.How old are you!
I'm 25 years old.
hata yule wa Wema nae si alikuwa wa hivyo hivyo tu!!!!
na huyu anye ni majuzi tu nilisoma eti lipredesheee lilimfumania na kiserengeti boy, basi likamtimua kwenye nyumba alokuwa amempangishia
maskini sijui ile laana y ayule mama wa mwanza ndo imeanza kutenda kazi!!