Kabisa, kwa nchi zinazojali pulic image ya brand yao 'Vodacom Miss Tanzania', sasa hivi hawa jamaa wangekuwa wanahangaika sana kupata wadhamini....katika hali ya kawaida huwezi peleka pesa yako kwenye shindano kama hili lililochafuliwa na washindi karibu wote isipokuwa yule miss tanzania mwenye asili ya kihindi...na pengine Lundenga angelazimika kubadili hata jina la mashindano yake, mfumo mzima wa uandaaji na vigezo vya kupata washindi ili kuleta heshima ya shindano lenyewe na washiriki kwa ujumla.