Hatimaye Mke wa Sugu afunguka kuhusu kufuta picha ya Sasha baada ya povu la Faiza

Hatimaye Mke wa Sugu afunguka kuhusu kufuta picha ya Sasha baada ya povu la Faiza

Nilikua namuona ana busara sana ila duh kumbe mbugila fulani hivi aliyekosa attention kaenda kumwagika gazeti la kuongelea alivyopata mimba ya kwanza ni bla bla bla tupu hakuna cha maana mule.
Ningekuwa mimi ndiyo huyo mke wa Sugu wala nisingeandika anything kuhusu family yangu (including huyo binti) kwenye social media. Kama mtaniita mimi ni mshamba well and good.
 
Nilikua namuona ana busara sana ila duh kumbe mbugila fulani hivi aliyekosa attention kaenda kumwagika gazeti la kuongelea alivyopata mimba ya kwanza ni bla bla bla tupu hakuna cha maana mule.
Kaandika wapi huko? Yaani kaandika alivyopata mimba???!!! Kwa faida ya nani??!! Mungu wangu!!! Kweli ni mbugila!
 
Back
Top Bottom