Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Basi uchizi wa Happy ni mzuri maana una utu na utulivu na unavumilika ndani ya nyumbaHappy na Faiza wote wehu amini hili...tena Faiza ana nafuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi uchizi wa Happy ni mzuri maana una utu na utulivu na unavumilika ndani ya nyumbaHappy na Faiza wote wehu amini hili...tena Faiza ana nafuu
Kumbe unaogopa kutukanwa kiasi hiki hahahaa!!!!Yeye ndio anajikomoa kwa maana Faiza ni mwehu hana cha kupoteza,mfano Faiza alivyoandika Sugu ana msodoma mkewe aibu ni ya nani?Anapoenda kwenye shughuli zake huyo happy anajisikiaje watu wanapomtizama kwenye kalio zake kama ni kweli 😁.Ningekuwa mimi nisingemtaja huyo mtoto popote pale Duniani na mbinguni
Najua kwamba hakufanyi ninyofoke ila kamwe siwezi kujibizana na mtu wa aina hii zaidi nitavunja heshima yanguKumbe unaogopa kutukanwa kiasi hiki hahahaa!!!!
Kutukanwa hakufanyi hata nywele yako moja kunyofoka.
... mimi naye twapendana.Mama wa kambo ni mama!
Sikupingi ila wewe nimekupitisha % mia moja.Na sio kila Mwanaume anasifa ya kuwa Mume
Mwe siku hizi una hekima 😁Inatupasa tutumie hii mitandao vizuri kwa faida ya vizazi vyetu,tuheshimu jamii yetu inayotuzunguka.
Anakulaga yuleFaiza sasa huko aliko Ana puliza bhangiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimekua ndomaana nataka watoto wetu waige tabia njema.Mwe siku hizi una hekima [emoji16]
Faiza[emoji3]Mpumbavu nan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Happy. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Faiza[emoji3]
Hivi kuna watu bila hizo instagram maisha yao hayakamiliki?Nimecheka huko insta wanasema wanamsubiri Putin arushe kombora
Kwahiyo hizi drama ndio zimemfanya aolewe?Kumbe ndo maana AMEOLEWA
Naomba namba yako inboxFaiza sio mwehu bwana ana makasiriko tu ya kupokonywa tonge mdomoni!
Mama wa kambo si mama ni unafiki tuMama wa kambo ni mama!
Ameumbuka mtu mzima... anajitekenya na kuchekaMama wa kambo anaonekana na busara!
Ndo ukweli mtupuJf mmejibu tofauti na fb
Fb members wengi wanasema mama wa kambo ni mkorofi anataka kumtoa mapovu faiza ili apate followers