Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Wewe sasa ndio umetumia akili kufikiri kwenye hili.Huyu mtoto ni kiki kubwa kwao kwa sasa ndo maana walimpeleka ukumbini badala ya wale wa kiume.Na kelele za mama yake zinawabust mno kibiashara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sasa ndio umetumia akili kufikiri kwenye hili.Huyu mtoto ni kiki kubwa kwao kwa sasa ndo maana walimpeleka ukumbini badala ya wale wa kiume.Na kelele za mama yake zinawabust mno kibiashara
Happy na Faiza wote wehu amini hili...tena Faiza ana nafuuYeye ndio anajikomoa kwa maana Faiza ni mwehu hana cha kupoteza,mfano Faiza alivyoandika Sugu ana msodoma mkewe aibu ni ya nani?Anapoenda kwenye shughuli zake huyo happy anajisikiaje watu wanapomtizama kwenye kalio zake kama ni kweli [emoji16].Ningekuwa mimi nisingemtaja huyo mtoto popote pale Duniani na mbinguni
Hawajawahi kuwa na akiliCha ajabu hata hapa Jf wanaomsema vibaya happy ni wanawake
Adui wa mwanamke ni mwanamke mwenyewe
Sio ukorofi hilo ni jibu la mpumbavuKwan uongo? Pale ukumbini sura yake ilionesha wazi kabisaa.
Hata km sahivi anaonesha yeye ni mshali, mwenzake hataki mwanae ampost au awe karibu yake, yeye analazimisha why?
Muache ajitoe ufahamu atatukanwa had baas. Lol
Hakuruhusu aende sema watanzania wasahaulifuMie naona hata faiza Ni mjinga tu.kama aliweza kumwacha aende mby at 3 years inamaana kuko vizuri na ndo maana dogo anaendelea kwenda. Na kule no kwao.mama atapost,baba wadogo,mashangazi na hata majirani. Atazame tu.
Mahakama inajua huyo demu mwehuHappy na Faiza wote wehu amini hili...tena Faiza ana nafuu
Hata huyo ni mwanae lakini mbonaLi Happy lichokozi sana[emoji57][emoji57]
Si apost wake
Hawezi kuwa na dini mtu wa vileHuyo Mama dini gani?
Kabisa mpendwa umeandika ukweliHappy na Faiza wote wehu amini hili...tena Faiza ana nafuu
Sanaaa......ila 'mchokozi 'Mama wa kambo anaonekana na busara!
Kafanya hivyo baada ya Faiza kutaka kupaint picha kuwa namchukia mwanae, sasa yeye jataka kuwaonyesha kuwa hata picha napiga naye na hata aliwah mnunulia zawadi ya birthday.Huyo dada nae mshari kwani lazima walimwengu wajue kama ana mpenda huyo mtoto
Kila mtu ana limit ya ukimya...Kabisa mpendwa umeandika ukweli
Nainawezekana kwel anampaka mafuta ila huyo faiza alijuaje lazima nae alifanywaYeye ndio anajikomoa kwa maana Faiza ni mwehu hana cha kupoteza,mfano Faiza alivyoandika Sugu ana msodoma mkewe aibu ni ya nani?Anapoenda kwenye shughuli zake huyo happy anajisikiaje watu wanapomtizama kwenye kalio zake kama ni kweli [emoji16].Ningekuwa mimi nisingemtaja huyo mtoto popote pale Duniani na mbinguni
Kwa kuangalia na jicho la karibu Happy ni mkorofi na mswahili sema wa chini chini anapenda ku play victim maana kuna wakati alikua hadi na fake account ya kumtukana Faiza.Happy aache ukorofi, awapost wanae, kwan hajazaa? Sahivi tutakua upande wa Faiza khaaah, aache name sifa za kutaka kumrusha roho mwenzake msieeew.
Nuzulati usije kuwa kama Faiza utanivuruga akili yanguHuyo dada nae mshari kwani lazima walimwengu wajue kama ana mpenda huyo mtoto
Ila na wewe pia huwaga ni mkorofiLi Happy lichokozi sana[emoji57][emoji57]
Si apost wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan ni lazima happy kumpost mtoto wa Faiza? Mambo mengine tuweke ushabiki pembeni. KhaaahFaiza ni mjinga, alizaa tu na sugu na kwa vyovyote vile hakuna ubaya wowote anaofanyiwa mwanae, ni basi tu chuki aliyonayo baada ya kuachana na sugu, afu sjui hujawai kujua yale matusi alokuwaga akimtukana mke wa sugu bila sababu kisa tu mtoto kaenda kwa baba ake......afu na wewe ungebaki kuwa km sugu uje ukutane na mambo ya kiume ndo ujue inavokwenda. Mungu akurehemu tuu