Hatimaye Mke wa Sugu afunguka kuhusu kufuta picha ya Sasha baada ya povu la Faiza

Hatimaye Mke wa Sugu afunguka kuhusu kufuta picha ya Sasha baada ya povu la Faiza

Mke wa Sugu ana busara sana haezi elezea kila alilomfanyia binti wa mumewe na namna anavoishi na uyo mtoto, coz faiza anajua kuelezea mabaya tuuuuu mbona hajawai kusema ulijipendekeza kumnunulia mwanangu hereni za gold? Faiza atakuja zikwa na makasiriko yake moyoni juu ya sugu, anajitahidi sana aharibu mahusiano ya familia ya sugu lakini waapi! Upumbumbavu wake ndo ulifanya asiolewe na sugu, saivi kabaki kudanganya ma single maza na "sizitaki mbichi hizi"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Happy ni mchokozi name khaaah, mwenzake hataki yeye analazimisha, au watoto wake n bakongo kweli. Uwiiiih

Ila Faiza ni kibokoooo.
Kama navokuona mwenzangu ungekuwa kwenye hiyo nafasi ya faiza
 
Hata kama Faiza ni mwehu ila mke wa sugu ni mshali kwa hili na inaonyesha kweli hana mapenzi kwa yule mtoto
Kwan uongo? Pale ukumbini sura yake ilionesha wazi kabisaa.
Hata km sahivi anaonesha yeye ni mshali, mwenzake hataki mwanae ampost au awe karibu yake, yeye analazimisha why?

Muache ajitoe ufahamu atatukanwa had baas. Lol
 
Kwan uongo? Pale ukumbini sura yake ilionesha wazi kabisaa.
Hata km sahivi anaonesha yeye ni mshali, mwenzake hataki mwanae ampost au awe karibu yake, yeye analazimisha why?

Muache ajitoe ufahamu atatukanwa had baas. Lol
Eti Kaka zake ambao ni watoto wake watamlinda Sasha ina maana ana muombea mtoto wa mwenzie balaa mfyuuu kabisa🤨
 
Anamkomoa tu....ujue faiza amemtukana Sana happy....
Sasa naye anarudisha kimya kimya
Yeye ndio anajikomoa kwa maana Faiza ni mwehu hana cha kupoteza,mfano Faiza alivyoandika Sugu ana msodoma mkewe aibu ni ya nani?Anapoenda kwenye shughuli zake huyo happy anajisikiaje watu wanapomtizama kwenye kalio zake kama ni kweli 😁.Ningekuwa mimi nisingemtaja huyo mtoto popote pale Duniani na mbinguni
 
Back
Top Bottom