cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ulitaka azae na wee? MsieeeeewSugu kitu gani kilimfanya akazaa na chizi? Faiza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka azae na wee? MsieeeeewSugu kitu gani kilimfanya akazaa na chizi? Faiza?
Kabisaaa yaanFB wapo sahihi kama wamesema hivyo huyu dada ni nyoka sana...sema amekuta Faiza anachukuliwa mwendawazimu
Watoto wake bakongo ndo maan hawapost, Faiza kasema, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Li Happy lichokozi sana[emoji57][emoji57]
Si apost wake
Mpumbavu nan sasa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio ukorofi hilo ni jibu la mpumbavu
Ndo tatizo la wabongo hili dea, yaan mtu ukiwa na madhaifu yako, hata wakati ukiwa sahihi unaonekana uko tofauti, kwa hili nipo na Faiza, huyu happy si kazaa? Awapost wake khaaah.Kwa kuangalia na jicho la karibu Happy ni mkorofi na mswahili sema wa chini chini anapenda ku play victim maana kuna wakati alikua hadi na fake account ya kumtukana Faiza.
Kwa upande mwingine Faiza akili zake namfananisha na Gigy money...wote ni kama kuna kitu wanapuliza kwasababu hawajali wanaropoka chochote muda wowote akili inapowatuma ila ukiwafuatilia they are good and loving mothers to their kids pamoja na wendawazimu wao. Hawana unafiki akikasirika anasema; akitaka kutukana ana tukana na hawajali maneno/matendo yao yatawaadhiti vipi wao na watoto wao.....ukimuangalia Sasha (binti wa Faiza) kako very sweet ana maadili na anajua dini anaenda madrasa na shule yuko smart ni ngumu kuamini kalelewa na Faiza tunaemuona mtandaoni.
Faiza anyamaze kimyaaHuyu mtoto ni kiki kubwa kwao kwa sasa ndo maana walimpeleka ukumbini badala ya wale wa kiume.Na kelele za mama yake zinawabust mno kibiashara
Halafu ni Tanzania tu ambapo mtu mwenye tabia zisizafaa anaweza kuwa anajifanya ni role model mtoa ushauri,...Faiza na yulee mwingine aliyekuwa house girl ...somebody Kiria !Mke wa Sugu ana busara sana haezi elezea kila alilomfanyia binti wa mumewe na namna anavoishi na uyo mtoto, coz faiza anajua kuelezea mabaya tuuuuu mbona hajawai kusema ulijipendekeza kumnunulia mwanangu hereni za gold? Faiza atakuja zikwa na makasiriko yake moyoni juu ya sugu, anajitahidi sana aharibu mahusiano ya familia ya sugu lakini waapi! Upumbumbavu wake ndo ulifanya asiolewe na sugu, saivi kabaki kudanganya ma single maza na "sizitaki mbichi hizi"
Upumbumbavu wake ndo ulifanya asiolewe na sugu, saivi kabaki kudanganya ma single maza na "sizitaki mbichi hizi"Mke wa Sugu ana busara sana haezi elezea kila alilomfanyia binti wa mumewe na namna anavoishi na uyo mtoto, coz faiza anajua kuelezea mabaya tuuuuu mbona hajawai kusema ulijipendekeza kumnunulia mwanangu hereni za gold? Faiza atakuja zikwa na makasiriko yake moyoni juu ya sugu, anajitahidi sana aharibu mahusiano ya familia ya sugu lakini waapi! Upumbumbavu wake ndo ulifanya asiolewe na sugu, saivi kabaki kudanganya ma single maza na "sizitaki mbichi hizi"
Siwezi kutenda ya FaizaNuzulati usije kuwa kama Faiza utanivuruga akili yangu
Sent from my Infinix S2 Pro using JamiiForums mobile app
Sema neno mtaalamUpumbumbavu wake ndo ulifanya asiolewe na sugu, saivi kabaki kudanganya ma single maza na "sizitaki mbichi hizi"
Nimeshaona mwanamke akishaona ameharibu upande wake anatumia nguvu nyingi kuiaminisha jamii upande aliòpo ndo sahihi....faiza aliumia kipindi iko akiamka anatukanaaa kumvua nguo mzazi mwenzie, asubui anamsifia na kumtaka juu! Kaona kashindwa kabisq saivi anamtumia mtoto kwenye hasira zake na kichaa chake.....anatamani sana nafasi aliyonayo happy ila ndo alishaharibu hafai kuwa mke kabaki kuwa role model wa masingo mazaHalafu ni Tanzania tu ambapo mtu mwenye tabia zisizafaa anaweza kuwa anajifanya ni role model mtoa ushauri,...Faiza na yulee mwingine aliyekuwa house girl ...somebody Kiria !
Ndomaana nakupendaga ustadhati wanguSiwezi kutenda ya Faiza
Na sio kila Mwanaume anasifa ya kuwa MumeSiyo kila mwanamke ana sifa ya kuolewa
Kama mlimwengu sioni tatizo wala ushari wowote kama tukijua upendo anauonyesha mama wa kamboHuyo dada nae mshari kwani lazima walimwengu wajue kama ana mpenda huyo mtoto
Wanaume wengi wamezaa na wanawake wasiowatarajia sababu ya nyegeSugu kitu gani kilimfanya akazaa na chizi? Faiza?