Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Mkuu umeshindwa kuvumilia ๐Huyu mtoto yani nalipa mahari tabia tutarekebishana mbele kwa mbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umeshindwa kuvumilia ๐Huyu mtoto yani nalipa mahari tabia tutarekebishana mbele kwa mbele
Siez vumilia kaka, yani atakayoropoka ndio hio hio natoa. No discountMkuu umeshindwa kuvumilia ๐
Kaja kuwakalia uchi wanyama wetu
Huyu mtoto yeye mwenyewe utalii tosha,inabidi serikali iongee nae aendelee kuwepo pande za serengeti ili na kina sie tukafanye utalii wa ndaniHuyo hpoView attachment 1655221View attachment 1655222View attachment 1655223
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Kivutio cha utalii tosha,inabidi awepo wepo sana pande zile ๐Siez vumilia kaka, yani atakayoropoka ndio hio hio natoa. No discount
Kumbe yuko nchiniKivutio cha utalii tosha,inabidi awepo wepo sana pande zile ๐
Yuko serengeti kaka,tutakuja huko kumuangalia yeye wakati na yeye anaangalia kina temboKumbe yuko nchini
hamna namna mzee, ningekuwa guide ningemuomba kituYuko serengeti kaka,tutakuja huko kumuangalia yeye wakati na yeye anaangalia kina tembo
Mkuu bila kusema maasai wamle huyo unayemuita mrembo uzi usingekamilika? Kumbe ndio maana wanaosema sisi weusi na ngono, ulevi ni pete na kidole kwa namna fulani wako sawa.
Huyu mtoto yeye mwenyewe utalii tosha,inabidi serikali iongee nae aendelee kuwepo pande za serengeti ili na kina sie tukafanye utalii wa ndani
wanawake wa kiafrica ni wazuri zaidi kiasili kuliko hao macaucasian... tunawapenda hivyo mlivyo ๐.mnatushusha sana wakina Dada wa kiafrica jamani
mie mwenyewe Huyo kanizidi labda unene tu
Wakati yeye anawachabo kina simba na tembo,mabaharia tunamchabo yeye ๐Hahaha tuanze kwenda sisi kutalii uyo mtoto
Tuache, tunakunywa supu ya kongoro na safari laga heheh ๐mfupa unauona na nyama unaiona! siyo wanawake wa bongo minyama uzembe kila mahali.
๐๐๐๐Tumechelewa Sana Ndugu Zangu
๐๐๐๐๐๐๐๐๐ ๐ ๐คฉ๐คฉ
Hongera sana Dr HK kwa juhudi zako za kuitangaza TZ unforgetable! Kuna model anajiita kim kardashian"Joselyncano" ana followers 13m amekata kamba alipokuwa anajaribu upasuaji wa "MSAMBWANDA".Wakuu weekend hii imekuwa bomba sana hasa Tanzania kutembelewa na moja wa warembo wakali sana duniani namzungumzia Demirose, mrembo na model kutoka United Kingdom.
Tangu muda huyu mrembo alisema anapenda sana kufika Tanzania kutembea finally amefika
Mrembo huyu amefika Arusha Serengeti National Park anakula maisha akiwa pande hzo wamasai msituangushe kuleni chombo hio.
Hii inaonesha Tanzania ni nchi nzuri inapendwa sana na watu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Is she a liability or asset?Wakuu weekend hii imekuwa bomba sana hasa Tanzania kutembelewa na moja wa warembo wakali sana duniani namzungumzia Demirose, mrembo na model kutoka United Kingdom.
Tangu muda huyu mrembo alisema anapenda sana kufika Tanzania kutembea finally amefika
Mrembo huyu amefika Arusha Serengeti National Park anakula maisha akiwa pande hzo wamasai msituangushe kuleni chombo hio.
Hii inaonesha Tanzania ni nchi nzuri inapendwa sana na watu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wakati yeye anawachabo kina simba na tembo,mabaharia tunamchabo yeye [emoji23]