Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
- Thread starter
- #81
Is she a liability or asset?
Liability hio[emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Is she a liability or asset?
Huyu mtoto yani nalipa mahari tabia tutarekebishana mbele kwa mbele
Teh TehSiez vumilia kaka, yani atakayoropoka ndio hio hio natoa. No discount
tunawapenda hivyo mlivyo warembo wetu😘Tuache, tunakunywa supu ya kongoro na safari laga heheh 😀
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyambiti nyamun'go
HuyuTuma picha
Hiyo picha ya juu nilijua mdoli.
Hiyo picha ya juu nilijua mdoli.
Picha ya chini mtoto mkali sana,sasa hiyo ndo pisi.
Kuna baharia atakula huo mzigo kimasihara sana
Hii habar bila picha haina mashiko yeyoteWakuu weekend hii imekuwa bomba sana hasa Tanzania kutembelewa na moja wa warembo wakali sana duniani namzungumzia Demirose, mrembo na model kutoka United Kingdom.
Tangu muda huyu mrembo alisema anapenda sana kufika Tanzania kutembea finally amefika
Mrembo huyu amefika Arusha Serengeti National Park anakula maisha akiwa pande hzo wamasai msituangushe kuleni chombo hio.
Hii inaonesha Tanzania ni nchi nzuri inapendwa sana na watu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Wow she's beautiful! Ila nguo kakatazwa kuvaa vizuri kwani(kujistiri)[emoji2088]
Hachezi porn huyu??