Engineer levi Devin
JF-Expert Member
- May 17, 2016
- 2,501
- 1,047
Thank you ,my brother from another mum. enjoy your day bro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utanielewa tu,
Sonko ni kama yule wenu Paul Makonda, anasimamia mkoa wa Nairobi, tofauti ni kwamba kwetu inabidi uchaguliwe na wananchi, ila kwenu Makonda aliteuliwa na rais.
Sasa ukiangalia Dar, imegawanywa kwa maeneo bunge kama Ubungo n.k. vile vile Nairobi kuna maeneo bunge pia ambayo mojawapo imechukuliwa na mbunge mpya Jaguar.
Havikuchanganyi!! sema huelewi chochote maana hujasoma ,,,Kenya kuanzia mwaka ujao elimu ni ya bure chekechea hadi shule za upili njoo Kenya usome angalau utapunguza upumbavu wako,,,,,,huwezi tofautisha kati ya mbunge na diwani at your age? Jaguar ni mbunge wa eneo bunge la starehe ,sonko ni gavana wa Nairobi . Diwani huku kwetu hatuna tulikua nao hizo enzi tukawatoa kwa sasa tuko na MCAs ,,members of county assembly.
Umejibu kwa kejeli sana utadhani huendi msalani. Poor you!Havikuchanganyi!! sema huelewi chochote maana hujasoma ,,,Kenya kuanzia mwaka ujao elimu ni ya bure chekechea hadi shule za upili njoo Kenya usome angalau utapunguza upumbavu wako,,,,,,huwezi tofautisha kati ya mbunge na diwani at your age? Jaguar ni mbunge wa eneo bunge la starehe ,sonko ni gavana wa Nairobi . Diwani huku kwetu hatuna tulikua nao hizo enzi tukawatoa kwa sasa tuko na MCAs ,,members of county assembly.
mbona unajiaibisha mkuu? yaani hujui tofauti kati ya mbunge na diwani? mbona hata mtoto mdogo anaelewa? sasa gavana ni kama Mayor lakini bado kuna wabunge kama Jaguar...sasa Sonko atakuwa ni bosi wa Jaguar
Nani alikuambia Tanzania bado ni koloni la uingereza? Mpaka siku [Kenya] mkijitabua na kukata mzizi wa kikoloni, ndio mtajuwa umuhimu wa kuwa mafrika.Elimu ipi ya bure??? elimu yenye hamuezi hata kutunga sentensi moja ya kingereza!!! haya wafunze majura wenzako utofauti wa kati ya diwani na mbunge.
Elimu yako haijakusaidia ,kwani ungeeleza bila kukashfu ungepungukiwa nini ? Au ndo ujuaji wa kijaruo? Stupid
wasemavyo Joho has a hand in drug deals....kama kweli hafai kua Raisi or makamu...just like Escobar anajua how to win his wars na ndio maana kawatupa mbali sana Wiper n Jubilee candidate...Sultan Joho Ali ,,,,,,,,tumemwambia arudi shuleni aka some kuanzia januari na amekubali sasa 2022 wakutane na William Ruto akiwa ni msomi wang'ang'anie urais wote bila shaka tutapata mshindi.
Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania, I have never wronged any Kenyan to that extent, stop being naive. Ndiyo maana hamna ajira, those words do depict the true you.Sitabembelezana na watanzania washenzi.
True. He will not go beyond governor seat ,,we will put him where others like him were put.wasemavyo Joho has a hand in drug deals....kama kweli hafai kua Raisi or makamu...just like Escobar anajua how to win his wars na ndio maana kawatupa mbali sana Wiper n Jubilee candidate...
mzee wa debe[emoji23] [emoji23] [emoji23]Hehe mbona humpendi simba wetu wa pwani!! Chezea sharubu ww ohoo[emoji3] [emoji191] [emoji109] View attachment 571473View attachment 571478View attachment 571479View attachment 571481View attachment 571482View attachment 571483
Though all this are rumours..if he had hand in the accident of Saitoti together with Mwau,Kabogo,Sonko etc....then the governor seat s oky for him..give a higher post than that he will become greedy...u see ow greedy is RutoTrue. He will not go beyond governor seat ,,we will put him where others like him were put.
Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania, I have never wronged any Kenyan to that extent, stop being naive. Ndiyo maana hamna ajira, those words do depict the true you.
Sent using Jamii Forums mobile app
He Sentensi ya kingereza ni kuwa na elimu?Elimu ipi ya bure??? elimu yenye hamuezi hata kutunga sentensi moja ya kingereza!!! haya wafunze majura wenzako utofauti wa kati ya diwani na mbunge.
Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania, I have never wronged any Kenyan to that extent, stop being naive. Ndiyo maana hamna ajira, those words do depict the true you.
Sent using Jamii Forums mobile app
He Sentensi ya kingereza ni kuwa na elimu?
Though all this are rumours..if he had hand in the accident of Saitoti together with Mwau,Kabogo,Sonko etc....then the governor seat s oky for him..give a higher post than that he will become greedy...u see ow greedy is Ruto
Kwa taarifa yako mimi ni mtanzania, I have never wronged any Kenyan to that extent, stop being naive. Ndiyo maana hamna ajira, those words do depict the true you.
Sent using Jamii Forums mobile app