Hatimaye msela Sonko akabidhiwa mji wa Nairobi

Hatimaye msela Sonko akabidhiwa mji wa Nairobi

Huyu Sonko ndiye alitoa ule msemo " Mtu ni kujipanga my friend! "...Huwa nasikia Wakenya wakiambiana hivyo...Ni mfanya biashara? Héla zake ndefu nasikia...Anatokea sehemu gani ?
 
Utanielewa tu,
Sonko ni kama yule wenu Paul Makonda, anasimamia mkoa wa Nairobi, tofauti ni kwamba kwetu inabidi uchaguliwe na wananchi, ila kwenu Makonda aliteuliwa na rais.
Sasa ukiangalia Dar, imegawanywa kwa maeneo bunge kama Ubungo n.k. vile vile Nairobi kuna maeneo bunge pia ambayo mojawapo imechukuliwa na mbunge mpya Jaguar.
Asante kwa kutuelewesha!
huu muundo wenu umekaa vizuri sana, hakuna kiongozi kujifanya mbabe sana kisa kipenzi cha baba! I wish na sisi mkuu wa mkoa tuwe tunamchagua [emoji21]

007 james Bond
 
Back
Top Bottom