Hatimaye msela Sonko akabidhiwa mji wa Nairobi

Huyu Sonko ndiye alitoa ule msemo " Mtu ni kujipanga my friend! "...Huwa nasikia Wakenya wakiambiana hivyo...Ni mfanya biashara? Héla zake ndefu nasikia...Anatokea sehemu gani ?
 
Asante kwa kutuelewesha!
huu muundo wenu umekaa vizuri sana, hakuna kiongozi kujifanya mbabe sana kisa kipenzi cha baba! I wish na sisi mkuu wa mkoa tuwe tunamchagua [emoji21]

007 james Bond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…