Hatimaye Mungu amebatilisha Ushindi wa kulazimisha baada ya mechi kuchezwa dakika 108

Hatimaye Mungu amebatilisha Ushindi wa kulazimisha baada ya mechi kuchezwa dakika 108

Anonymous Caller

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2016
Posts
679
Reaction score
870
Jamani mpira ni burudani tu.

Na wala kushinda sio lazima.

Hata akina PSG au Liverpool huko ng'ambo hawashindi kila siku.

Kwa hiyo Simba na Yanga Pokeeni meseji hiyo.

Nimejionea leo uhusika wa MUNGU dhidi ya dhulma.

Lile kosa la kibinadamu la chasambi lililopelekea Fountain kupata goli halikuja bure...

Ile Ilikuwa ni reaction ya Mungu dhidi ya uonevu wa muda mrefu kwa timu ndogo ambao umekithiri mno kwny ligi ya Tanzania.

Kumlaumu Chasambi ni kumuonea.

Kwa alichofanya Mwamuzi, bila uhusika wa MUNGU, Fountain Gate angefungwa kivyovyote vile.

Baada ya kuona mbinu zinataka kushindikana akampa red card golikipa huku akijua wazi kwamba Fountain tayari wamemaliza kutumia sub zote...Hivyo watalazimika kutumia mchezaji wa ndani ili iwe rahisi Simba kupata goli.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Bado ikawa ngumu, akaona aongeze dakika 4 zaidi baada ya kuisha zile 9.
Jumla mchezo umechezwa dakika 108.....ukijumlisha 45+5 kwa kipindi cha kwanza na 45+13 kipindi cha pili.

Kwa ufupi tu Mchezo wa leo umetawaliwa na uonevu sana

Hata lile goli la kuongoza, lilikuwa la kihuni. Fikiria scenario hiyo ingefanywa na Fountain Gate, goli lingekubalika?

Ushauri wangu kwa vilabu wahanga ni kwamba;
Kwa kuwa TFF imeshindwa kutatua hili tatizo..Ni dhahiri hizi rushwa kwa Waamuzi zina baraka ya TFF.

Wakutane wajaribu kutikisa kiberiti,

Watoe tamko kali la kususia kuendelea na michezo ya Ligi...mpaka TFF itakapo-wahakikishia kuwa mambo haya hayajirudii.

Hapo wakakuwa wamekomesha.

Bila kuja na shocking decision, TFF haiwezi kuogopa.
 
Jamani mpira ni burudani tu.
Na wala kushinda sio lazima.
Hata akina PSG au Liverpool huko ng'ambo hawashindi kila siku.
Kwa hiyo Simba na Yanga Pokeeni meseji hiyo.

Nimejionea leo uhusika wa MUNGU dhidi ya dhulma.

Lile kosa la kibinadamu la chasambi lililopelekea Fountain kupata goli halikuja bure...

Ile Ilikuwa ni reaction ya Mungu dhidi ya uonevu wa muda mrefu kwa timu ndogo ambao umekithiri mno kwny ligi ya Tanzania.
Kumlaumu Chasambi ni kumuonea.

Kwa alichofanya Mwamuzi, bila uhusika wa MUNGU, Fountain Gate angefungwa kivyovyote vile.

Baada ya kuona mbinu zinataka kushindikana akampa red card golikipa huku akijua wazi kwamba Fountain tayari wamemaliza kutumia sub zote...Hivyo watalazimika kutumia mchezaji wa ndani ili iwe rahisi Simba kupata goli.

Bado ikawa ngumu,
akaona aongeze dakika 4 zaidi baada ya kuisha zile 9.
Jumla mchezo umechezwa dakika 108.....ukijumlisha 45+5 kwa kipindi cha kwanza na 45+13 kipindi cha pili.

Kwa ufupi tu Mchezo wa leo umetawaliwa na uonevu sana

Hata lile goli la kuongoza, lilikuwa la kihuni.
Fikiria scenario hiyo ingefanywa na Fountain Gate, goli lingekubalika?

Ushauri wangu kwa vilabu wahanga ni kwamba;
Kwa kuwa TFF imeshindwa kutatua hili tatizo..Ni dhahiri hizi rushwa kwa Waamuzi zina baraka ya TFF.

Wakutane wajaribu kutikisa kiberiti,
Watoe tamko kali la kususia kuendelea na michezo ya Ligi...mpaka TFF itakapo-wahakikishia kuwa mambo haya hayajirudii.
Hapo wakakuwa wamekomesha.

Bila kuja na shocking decision, TFF haiwezi kuogopa.
Usilitaje bure jina la Mungu.
Kwenye mpira hakuna Mungu, kumejaa nguvu za giza
 
Mambo ya aibu kabisa, Refa anaonyesha ishara ya Direct kick na mkono uko juu kabisa.

Wachezaji wa Fontain wanajiandaa kuhesabiwa hatua , Simba wanaendelea na Mchezo.
Bado kuna wacjezaji wawili wanaonekana tayari wapo eneola kuotea , wanafunga.

Refa uyo ambaye ali usimamisha mpira ili faul ipigwe hajui ata mpira umeanza vipi!! ana weka kati na kukubali goli.

Nyinyi chama cha waamuzi na bodi ya ligi amuoni izi aibu!!

Kama Ligi namba 5 ndio kiwango cha matefa kiko hivi je! Iyo ligi namba 40/50 itakuaje?
Yaani Refa anaipambania timu kuliko mchezaji anayelipwa mshahara na posho!!
 
Mambo ya aibu kabisa, Refa anaonyesha ishara ya Direct kick na mkomo uko juu kabisa.

Wachezaji wa Fontain wanajiandaa kuhesabiwa hatua , Simba wanaendelea na Mchezo na bado kuna wacjezaji wawili wanaonekana tayari wapo eneola kutea , wanafunga Refa uyo ambaye ali usimamisha mpira ili faul ipigwe hajui ata mpira umeanza vipi ana weka kati na kukubali goli.
Nyinyi chama cha waamuzi na bodi ya ligi amuoni izi aibu!!
Kama Ligi namba 5 ndio kiwango cha matefa kiko hivi je! Iyo ligi namba 40/50 itakuaje?
Yaani Refa anaipambania timu kuliko mchezaji anayelipwa mshahara na posho!!
Hivi wanaosema Ligi ya Tanzania ni ya 4th Africa wanatumiaga vigezo gani? Unajua nawashangaa
 
Ndio maana hata mungu mwenyewe anaonekana muongo muongo tu.sasa pale anahusikaje.
 
downloadfile-255.jpg
 
Ukiona jambo niwewe tu unaamini ujue wewe ndo unashida ila kijiji kizima kikisema hapana ujue kuna kitu,

mechi ya leo ni muendelezo wa marefa kulazimisha simba ishinde kila mechi ila Mungu leo kasimama na Fountain Gate, refa anastahili muamala wa maana kwakuwa kafanya kila kilichotakiwa mbeleko fc wameshindwa wenyewe

katika uzi wa mechi hii mi nilizungumza refa kuibeba simba kabla ya mechi, mi huwa sibahatishi sababu mi nilikuwa ball boy naujua mpira kwa miaka 60 now!!

Ni vizuri mbeleko fc , mbumbumbu watafute mbinu zingine kwakuwa ya marefa imebuma, refa alitaka mechi ichezwe kwa vipindi vitatu vya dkk 45 kila kimoja

Yanga bingwa hata kama tiefuefu na makolo watapambana kwa kiwango gani!!
 
Bora ungesema mungu huyu kukufanyia ccm we unawaza mpira huku wazazi wako wakishindwa maisha.
 
Back
Top Bottom