Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #81
Been pretty busy Kaka, tuna pambania kombeOhoooh! Kwanza ulipotea wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Been pretty busy Kaka, tuna pambania kombeOhoooh! Kwanza ulipotea wapi?
🤣🤣🤣🤣Hayo ni mambo ya kidada kabisa kina Wema Sepetu
Sasa Kaka, kuhusudu mnyama ni kosa?.Huyu ni team kataa ndoa, hapa anamhusudu paka wake.
Unaleta ujumbe gani kwa jamii ndgu Intelligent businessman ??
Sema ,bambataa iko?🤣Aisee 😂😁 ,
Safi kabisa ,safi kabisa.Been pretty busy Kaka, tuna pambania kombe
Kaka paka huwa Wana bambataa 😂Sema ,bambataa iko?🤣
Naomba uweke picha ya mjusi,unaniangusha.Kaka paka huwa Wana bambataa 😂
Nimesha toka home, naingia eneo flani.Naomba uweke picha ya mjusi,unaniangusha.
Mbaga mbaga shida nini kaka 😂😂😂😂😂😂😂😂Kwenye huu uzi ngoja ninyamaze mana kuna harufu ambayo sielewi
Unawahi kazini mapema hivi? Unawahi kufanya usafi?Nimesha toka home, naingia eneo flani.
Nadhani ni ujinga tu, watanzania ni wa kwanza kukalamika kuwa Uhuru una banwa.Hii thread ina controversy kubwa sana, inaonesha how jamii bado haijawa inashikilia mitazamo ambayo ni outdated!
Wafanya usafi wapo Kaka😁🤣, Mimi ni issue nyingine kabisa.Unawahi kazini mapema hivi? Unawahi kufanya usafi?
Sawa sawa!Wafanya usafiri wapo Kaka😁🤣, Mimi ni issue nyingine kabisa.
Nita fanya hivyo Baada ya kumcheki doctor fulani wa wanyama,Kitaalamu,
Naona cat wako ana minyoo so nashauri umpe Ascetin P ni kidonge cha minyoo saga na mchanganyie kwenye chakula,supu au maziwa.
Vipi we na manta wako, mko poa ??Sawa sawa!
Ni elimu pana.Nita fanya hivyo Baada ya kumcheki doctor fulani wa wanyama,
ila mkuu minyoo mna pima kwa Picha??
Unamaana gani na maneno yako ya kichochoroni?Vipi we na manta wako, mko poa ??