Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wafia dini za mtumba mnakera sana!! Hebu toka utumwani kijanaBila maombezi atarudi tena kwenye kifungo cha kuingiliwa kinyume.
Shenzi kabisa kwa hio unachagua dhambi eti dhambi hii ni Kali hii siokaliHabarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.
Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.
Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.
Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.
Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.
Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.
Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.
Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Mla cha mwenzie na yeye huliwa😂😂Mla cha mwenzie na chake uliwa best angu...
Yaani niweke matumaini yangu kwa binadamu hawa waliogeuza imani kuwa biasharaNenda ukaombewe
iPhone 14 zipo njianiAcha ujinga wewe karma ni uninga huo wanao aminishana wapuuzi
Njia ya chooni huwa haina majani ipo siku mpnz wako mpya atakosea afu itaenda freeway ndipo atajua kumbe mlango wa nyuma ulishawah tumikaHabarini wana JF,
Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.
Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.
Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.
Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.
Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.
Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.
Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.
Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.
Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Hapa sasa ndio itakuja threesome ya kufumuana marindaiPhone 14 zipo njiani
Tatizo sio wanawake. Mwanaume akishindwa kumlinda mwanamke ni matatizo. Sasa wanaume wenyewe ndio waharibifu unategemea nini mkuu ? Yaani mlinzi kaamua kuwa jambazi. Inasikitisha sanaHivi wanaume ni kwanini haturidhiki na mahali tulipo pewa mpaka tuende sehemu za uchafu, na nyie wanawake hivi ukiambiwa hivo bado utaendelea kumuheshimu huyo mtu kama mume bora, pole sana dada nafsi itakusuta sana ila hilo lilikua ndani ya uwezo wako
na 14 Pro max bei yake kipengele kweli kweli .. waanze kujiandaa kisaikolojiaHapa sasa ndio itakuja threesome ya kufumuana marinda
Njoo nkuombeeYaani niweke matumaini yangu kwa binadamu hawa waliogeuza imani kuwa biashara
Hakuna mwanaume wa hivo labda aolewe na shogaHicho kitu sio kitu kibaya kama unavyosema,ila kinakuwa kibaya kama huyo jamaa alikuwa anakulazimisha.
Wala hata usijari sjui mwanaume utakae kutana nae atakuchukuliaje,ni kwamba kama mtu amekupenda hata akigundua inabaki kuwa siri yake tu moyoni,mimi mara nyingi huwagundua ambao wameshaingiliwa ila huwa napiga kimya tu
aiseeTatizo sio wanawake. Mwanaume akishindwa kumlinda mwanamke ni matatizo. Sasa wanaume wenyewe ndio waharibifu unategemea nini mkuu ? Yaani mlinzi kaamua kuwa jambazi. Inasikitisha sana
Dnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.Tatizo sio wanawake. Mwanaume akishindwa kumlinda mwanamke ni matatizo. Sasa wanaume wenyewe ndio waharibifu unategemea nini mkuu ? Yaani mlinzi kaamua kuwa jambazi. Inasikitisha sana
Mil ngapi mzeya?na 14 Pro max bei yake kipengele kweli kweli .. waanze kujiandaa kisaikolojia
Are u trying to be funny🤣🤣🤣🤣Njoo nkuombee
Mwanamke anakuwa na tamaa kwa mwanaume wake, maana yake wewe mwanaume unaweza kui control tamaa ya mwanamke. Chanzo cha uharibifu ni MeDnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.
Hili ni tatizo kubwa, wanawake haturidhiki na tulichokuwa nacho. Mtu anataka iphone huku hata hana uwezo wa kununua kitochi. Mimi pamoja na kuwa nina uwezo wa kununua iphone hata ya 3m lakini sifanyi ujinga huo maana sio kipaumbele changuDnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.
zenye space kubwa 1TB - 2TB zinachezea $ 1700-2000 😁😁😁Mil ngapi mzeya?