Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Hili ni tangazo na wateja wanatafutwa.

Michezo ya kingono ya kinamna yoyote ile hufungamanishwa na roho na roho ndio mtu halisi.

Sema unapumzika tu ila ukipata wa kuchezea tope anakula mpaka basi
Ila kiukwel POLE
 
Shenzi kabisa kwa hio unachagua dhambi eti dhambi hii ni Kali hii siokali
 
Hivi wanaume ni kwanini haturidhiki na mahali tulipo pewa mpaka tuende sehemu za uchafu, na nyie wanawake hivi ukiambiwa hivo bado utaendelea kumuheshimu huyo mtu kama mume bora, pole sana dada nafsi itakusuta sana ila hilo lilikua ndani ya uwezo wako
 
Njia ya chooni huwa haina majani ipo siku mpnz wako mpya atakosea afu itaenda freeway ndipo atajua kumbe mlango wa nyuma ulishawah tumika

Kama kwenye Ile video inayoitwa
" Udom , demu wa kigogo ina dk 72
 
Tatizo sio wanawake. Mwanaume akishindwa kumlinda mwanamke ni matatizo. Sasa wanaume wenyewe ndio waharibifu unategemea nini mkuu ? Yaani mlinzi kaamua kuwa jambazi. Inasikitisha sana
 
Hak
Hakuna mwanaume wa hivo labda aolewe na shoga
 
Tatizo sio wanawake. Mwanaume akishindwa kumlinda mwanamke ni matatizo. Sasa wanaume wenyewe ndio waharibifu unategemea nini mkuu ? Yaani mlinzi kaamua kuwa jambazi. Inasikitisha sana
Dnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.
 
Dnt shift blame hapa. Semeni ukweli wanawake wamejaa tamaaa. Wanataka maisha mazuri at any cost.
Hili ni tatizo kubwa, wanawake haturidhiki na tulichokuwa nacho. Mtu anataka iphone huku hata hana uwezo wa kununua kitochi. Mimi pamoja na kuwa nina uwezo wa kununua iphone hata ya 3m lakini sifanyi ujinga huo maana sio kipaumbele changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…