Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Pole sana. Ila mhhh anyway pole Dada
Habarini wana JF,

Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.

Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.

Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.

Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.

Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.

Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.

Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.

Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.

Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Wewe dada kumbuka hakuna mwanaume asiye na changamoto, ulipaswa kuvumilia, leo hii umekataa kupelekwa Buza unaenda kukutana na mwanaume mlevi, mgomvi, mwizi au malaya utafanyaje?
 
MUNGU AMEKUSAMEHE DADA YANGU KUTOKA KTK HIYO DHAMBI... usihofu utapata mwanaume aliye sahihi ktk maisha yako... Nikupongeze umegundua maisha yako ni bora kuliko ahadi ya ndoa... Ukweli ni kwamba hata siku moja hakuna mwanaume anayekubali kumuoa mwanamke anayemfanyia ufiraji, kwahio hapo ungepoteza muda tu... Enjoy your life God bless you
 
Ile style ya dog huwa inasaidia sometime unajua kama Mwanamke anaingilia.
 
Kwanini ulikubali kufanya tell us the motive behind.

Nadhani ulikuwa na wewe unawish kujaribu siku moja ndio maana ulifanya .

Sijaona sehemu umesema ulishikiwa bastola na kulazimishwa kufanya.
 
Kwa hiyo saivi huna bikra zote Tena?mhuni keshatindua mtaro huo mwaka mzima..na imagine mjamaa atakayekuoa aise ..wanaume tuna kazi Sana.
 
Kujiskia vibaya maana yake it's not you thing, na huyu mwanaume kama alikua anachukulia poa basi dhamira yake imekufa ktk hilo jambo, kufanya uamuzi WA kuachana na hilo swala ni jambo Moja kuhold on ni swala lingine na hapo inahitajika neema ya Mungu,coz the door is already open, utahitaji mtu ambaye hatsentatain hiyo mambo.
All in all we are all struggling with certain things we do ambavyo hatuvipendi, sote tu wakosaji na tumepungukiwa na utukufu WA Mungu. Grace of God is enough for us all, let's repent and start anew
 
Back
Top Bottom