Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Hatimaye nimeamua kuachana na mpenzi wangu anayependa mapenzi kinyume na maumbile

Habarini wana JF,

Leo nimeamua kushare na nyie jambo linaloniumiza sana sana, mimi ni jinsia Ke. Nilikua na mahusiano na mwanaume niliyempenda lakini amekua akipenda mchezo huo mchafu.

Nakumbuka nilikua ninamkatalia ila sijui ni shetani ilifika siku nilimkubalia, nadhani tumefanya sasa ni takriban mwaka mmoja japo tumekua hatufanyi mara zote tunapokutana.

Kusema kweli roho inaniuma sana, najiona mkosefu mbele ya Mungu wangu, nalia kila siku asubuhi ninapoiwaza dhambi hii, cha ajabu mwenzangu alikua haoni kama ni jambo la ajabu ndio kwanza alikua ananiambia mbona watu wanafanya ndani ya ndoa na inaonekana marafiki zake wanafanya pia.

Roho inaniuma najuta hata kwanini nilikutana na huyu mwanaume, ukimuona ni mstaraabu huwezi mdhania, anajifanya na yeye ulikua sio mchezo wake ila sio kweli maana kila tukikutana faragha likua anataka kunyonya huko nyuma.

Umri wangu umeenda nipo kwenye early 30th sasa, na sababu ya kutomuacha ni sababu ya malengo tuliyokua nayo na uhitaji wa ndoa na hata watoto lakini nimekaa nimefikiria sana.

Naona kwangu amani ya moyo wangu na pia afya yangu ni muhimu pia ,acha tu umri wangu uende hata bila ndoa kuliko kuja kuharibikia.

Namshukuru Mungu amenipa kazi nzuri na nna kipato tu kizuri kiasi kwamba hata nitakapopata watoto bado nina uwezo wa kuwalea pasipo hata kuolewa.

Nimekua nikisoma thread mbalimbali watu wanasema ni ngumu kuacha huu mchezo, mimi nasema ni rahisi kuacha huu mchezo kama unajua madhara yake na una utayari,nachowaza ni kwamba itakuaje nipate mwenza mpya na aje kugundua nimeshafanya huu mchezo!!,sijajua itakuaje ila all in all nimeamua kumove on,pia sio kweli et ukifanya hayo mambo unashindwa kuzuia haja ,ni mpaka ue mzoefu wa miaka 5 ndio utapata haya madhara.

Nakusihi wewe dada unaesoma uzi huu, acha kumuendekeza huyo mwanaume anaekufanyia mchezo mchafu, hakupendi na atakuacha siku ukishaharibikiwa, ukishindwa kuzuia haja na utakapoanza kuweka pampaz, mimi namshukuru Mungu kwa kuniokoa kamwe sitakaa kufanya tena hii dhambi.
Usijali kama unataka mume wakukuwowa mie nipo hpa njoo tuyajenge tupate watoto wetu na tutasaidiana katika kuacha huo mchezo mchafu. Ata mie nilikuwa kama huyo boy wako...ya i bila kufyonza marinda nilikuwa sienjoy kabisa kugegedana.

nilikuwa mtu mtu wa hasira tuu demu akininyima ila ndio ukweli umesema mwanaume akikula tigo huyo hakupendi ata mie hao wanawake niliowala tigo sikuwapenda niliwaona kama chombo cha starehe.

Hongera kwa kujitambua binti. Chapa kazi zaa watoto wako walee. Wanaume sie ni mashetani kabisa.
 
Mungu ni mwaminifu. Atakupa mume wako atakayekupenda na kukuthamini....Ya kale yamepita
 
Sijaongelea mitume ama manabii, bali nimetoa wazo mhanga akaombewe kwa Utakaso zaidi, najua hata wewe huijui nguvu ya muunganiko kati ya muhanga na mtenda, huyo dada keshachafuliwa mno na bado nguvu ya muunganiko wa manii na damu vitafanya kazi baadae asipoombewa maana ni tendo linalobeba nguvu za giza pia.

Bado binti ni mchanga sana kujiombea mwenyewe hivyo anahitaji maombezi maalum ya ukombozi, endapo atakosa hiyo huduma atarudi ktk huo muunganiko wa awali na atakuwa nguli zaidi
Wewe mwenyewe ukiingia Chumbani ukajitakasa kwa kuungama na kuanza kujiombea " Mungu lazima asikie maombi yako"

Achana na manabii na mitume.

#YNWA
 
Kwanini ulikubali kufanya tell us the motive behind.

Nadhani ulikuwa na wewe unawish kujaribu siku moja ndio maana ulifanya .

Sijaona sehemu umesema ulishikiwa bastola na kulazimishwa kufanya.
Hayo mambo kwenye maisha yapo unafanya jambo sio sahii Ila baadae unagundua sio sawa unaachana nalo ajabu ni nin acha unafki unataka kutuambia wewe ni mkamilifu asilimia 100 💯
 
Sijaongelea mitume ama manabii, bali nimetoa wazo mhanga akaombewe kwa Utakaso zaidi, najua hata wewe huijui nguvu ya muunganiko kati ya muhanga na mtenda, huyo dada keshachafuliwa mno na bado nguvu ya muunganiko wa manii na damu vitafanya kazi baadae asipoombewa maana ni tendo linalobeba nguvu za giza pia.

Bado binti ni mchanga sana kujiombea mwenyewe hivyo anahitaji maombezi maalum ya ukombozi, endapo atakosa hiyo huduma atarudi ktk huo muunganiko wa awali na atakuwa nguli zaidi
Ukombozi wa nin nawakati anaweza akaomba mwenye msiwe mnageuza kila kitu ni fulsa ya sadaka

Hakuna kitu muhimu kama kuwa na mtaji binafsi wa maombi
 
Naunga mkono mtaji wa maombi, Ila kuombewa ni muhimu maana Mungu ameweka watu maalum wenye vipawa vya kufundisha na kuombea (kumbuka maombezi huambatana na mafundisho) hivyo muhanga anahitaji maombezi na mafundisho ili aimarike zaidi.

Jitahidi kunielewa, sijaongelea fursa ya sadaka Ila wewe umetoa mtazamo wako
Ukombozi wa nin nawakati anaweza akaomba mwenye msiwe mnageuza kila kitu ni fulsa ya sadaka

Hakuna kitu muhimu kama kuwa na mtaji binafsi wa maombi
 
cerinaa umefanya mwaka mzima halafu unasema hakuna madhara kabisa na unajitangaza una hela na untakaa kuolewa ili uzae ila unaogopa mwanaume wako akijua kuwa ulikuwa unafanywa nyuma...Mpendwa huo mchezo hauwezi kuacha kama ulikuwa unamwagiwa shahawa huko nyuma huwezi kuacha. Na ndiyo Maana zamani wanaume waliokuwa wanafumwa kwa wake za watu wakifanyiwa hivyo walikuwa wanaenda kupigwa bomba ili kuondoa shahawa zilizomwagiwa huko zote zitoke.

Shahawa zikimwagiwa kule zinaenda kuzalisha wats ambazo zitasababisha kuwa unawashwa muda wote hivyo kuhitaji kuingiliwa kinyume na maumbile au kukunwa muda wote. Hakuna Mwanadamu aliyewahi kuingiliwa aliyekuja kuacha. Moja ya sababu wanawake wengine wanasaliti ndoa zao kwa waume zao wa zamani ni kwa kuwa wale walikuwa wanawafanya kinyume na maumbile kwa kuwa yupo ndani ya ndoa hawezi kumwambia mume wake amuingilie hivyo inabidi aendelee kumpa x wake kwa kuwa ndiyo mtu pekee anayejua.

Pia ukija kwenye kujifungua Mwanamke yeyote aliyefirwa hawezi kuzaa kwa njia ya kawaida wote wanazaa kwa operation. kwa kuwa kujifungua kwa njia ya kawaida unatakiwa tundu moja kuzibwa ili njia ya uke ifunguke sasa kwa mwanamke aliyeingiliwa kinyume ile sphinter ya njia ya haja kubwa haiwezi kufunga tena.

Kikubwa mvumilie huyo mliyeanza naye ili akutunzie siri yako
 
Kama alikuwa anakumwagia Yale Marue rue yake ......dada jiandae Tu kuwashwa ........maana wakongwe WA hayo wanasema inakuwa kama andasi uku miss lazima ukakaangwe tena
 
Sijaongelea mitume ama manabii, bali nimetoa wazo mhanga akaombewe kwa Utakaso zaidi, najua hata wewe huijui nguvu ya muunganiko kati ya muhanga na mtenda, huyo dada keshachafuliwa mno na bado nguvu ya muunganiko wa manii na damu vitafanya kazi baadae asipoombewa maana ni tendo linalobeba nguvu za giza pia.

Bado binti ni mchanga sana kujiombea mwenyewe hivyo anahitaji maombezi maalum ya ukombozi, endapo atakosa hiyo huduma atarudi ktk huo muunganiko wa awali na atakuwa nguli zaidi

Hujasema mitume na manabii ila unasema binti akawekewe mikono....

1. Huduma anatoa nani?
2. Huyo mtoa huduma ana utakatifu gani ambao Mungu hawezi kumpa binti?

""Binti ingia Chumbani, funga mlango na lia sanaa na Mungu wake, nae ni Mungu wa wote ATASIKIA KILIO CHAKO"".

#YNWA
 
Kudos to you!!.
Keep on positive mind!!
Na ikawe kama unavyotamani

NB: Wazazi wajengeeni watoto wenu uwezo wa kujiamini inawezekana kusema hapana na maisha yakasonga
 
Back
Top Bottom