Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Kwanza soma system administrator,ujue most OS-windows,unix/linux,soma network administrator/engineer jua protocol and network in general it will be easier kujua hacking kwakua unajua how systems and network works badala ya kukariri code za kuingia kwenye system direct
hio sio hatua wala ya kujifunza hacking, kwa wanaosoma kama professional yao mfano wanafunzi wa IT, cyber security, computer Engineering nk. hivyo vinakuwa kama basic skill yao, mbali na kusoma na vingine vingi , hata mmoja kati yao ni ngumu kupata ni hacker
 
hio sio hatua wala ya kujifunza hacking, kwa wanaosoma kama professional yao mfano wanafunzi wa IT, cyber security, computer Engineering nk. hivyo vinakuwa kama basic skill yao, mbali na kusoma na vingine vingi , hata mmoja kati yao ni ngumu kupata ni hacker
Hacking in reality ni ngumu sana. Unaweza vipi kuhack mifumo iliyoundwa na wajuvi wenye elimu bobevu, raslimali na access ya miundombinu mingi kuliko wewe?

Mfano;

NMB Bank wameleta BOT inahitwa RAFIKI. Hicho kibot kinatoa huduma kwa wateja. Lakini hawakiendeshi wao, kiko chini ya kampuni kubwa META. Sasa utaweza vipi kuhack hapo?

Maarifa yenyewe ya jinsi ya kuhack tunawategemea wao.
 
Kuwa hacker kwanza unahitaji kuwa na knowledge nzuri ya computer engineering. Hii foundation utaipata baada ya kufanya degree ya computer engineering.

Ukisha maliza degree yako ya computer engineering kama umesoma na kuelewa vizuri, utapata fedha za kutosha kuendesha maisha yako... na utajikuta huna haja ya kuwa hacker.

Ni hayo tu
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Mkuu watu huwa wanahisi hacking ni kitu rahisi kama kujifunza photoshop.
Heshima kwa mahacker wanaohack mifumo tena wengine wanaingia na kuchukua wanachochukua na wanasepa bila hata wahusika kuwa na taarifa.
Kuna wale wafilipimo walikuwa wachukue almost one billion US dollar kwenye bank ya bangkok, sema Mungu alikuwa upande wa bank wakase0a na just like 300 milions. Na hapo walicheza na mfumo wa swift
 
Naomba kujua ulifanikishaje kuingia dark web mkuu

Dark web unaingia kwa lengo maalumu, kwa links,

kuingia unatakiwa kuwa na browser ya Tor, na orbot vpn kama unatumia simu,
then Anza kuwasha orbot afu ingia kwenye tor , andika dark web links.
Kama unataka ku navigate dark web marketplaces unahitaji uelewa kidogo kuhusiana na maswala ya IT pia maana utapewa kazi ya kutofautisha na kuchambua links, then kubaini ambayo inaweza kuwa ni kwa phishing,
pia unaweza kupewa task nyingine yoyote lakini sio kirahisi kabisa.

Kuna search engines kama ahmia , duckduckgo n.k. unaweza kuzitumia pia ku search jambo unalotaka mfano, counterfeit money , guns, bank credentials etc.

Pia kuna hidden wiki ambayo ni nzuri kwa beginners kutembelea dark web, unachagua tu kipengele ambacho ungependa kutembelea.

Generally dark web ukienda bila lengo lolote hutaelewa chochote maana watu wanaenda kwa invitation links ambazo wanapeana wenyewe ili wawasiliane kwa ajili ya kufanya biashara zao ambazo ni ngumu kwa kutumia surface webs.
 
Huwezi ingilia kila mfumo.. ni vizuri uka specialize boss.. na ukajikita katika eneo husika.. kama unataka kuwa mtabe kwenye mobile, web, net , reverse , foren ect.. ukisaka kujua kila kitu huo utakuwa ni uwongo... kujua sana programi au net au kusoma computer Eng.. hakutokufanya uwe hacker mzuri kama una mawazo hayo loss ya kwanza hiyo.. vitakusaidia kwa sehemu ila havitokufanya kuwa bora zaidi.. nilishapewa task kwenye chuo flani na mtabe wao.. pale.. mwisho wa siku nilikuja mfundisha.. kwasababu yeye alikuwa mzuri sana kwenye Net.. ila kwenye Web App alikuwa tia maji tia maji.. tafuta eneo flani ujikite .. sio kazi rahisi.. inaweza kukuchukua miaka.. na kadri unavyodumu kwenye game ndio unazidi kuwa na maunjanja ya kutosha

Wisdom and well said

Computer Science ni kama medicine tu, Kuna general medicine na specialisation / super speciality kama Gynae/Obs, Psychiatry, Internal medicine, Orthopaedic and Trauma, Opthalmology, Surgery etc.

Ni ngumu mno mtu mmoja kuwa na specialisation/super speciality zote at the same time. Computer Science pia Ni muhimu ku-specialize badala ya kuwa na haphazard partial knowledge
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
nadhani umejifunza lakini haujajua unatumia wapi
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Hacker ni mtu smart sana tofauti na wewe ,looks like a, script kiddie hahaha
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
UNatumia oparating system gani ?
 
Kwanza kuwa hacker inabidi uwe mpenzi kabisa wa mambo ya teknlojia hii,mbali na kujifunza darsani,ujifunze kwa watu wengine,uulize kwa watu wanafanyaje,usisahau zaidi,kuwa hacker ni kipaji kama vipaji vingine.
Ukishindwa kuhack kitu fulani,basi kuna kingine kingine utahack kwa urahisi sana kama unanawa mikono ili ule
 
Usikate tamaa, komaa, kwenye tech kujifunza hakutaisha, uvivu hautakiwi kuwa sehemu yako, anza na vitu rahisi, interest itakuwa mpaka kwenye mambo makubwa kama Cyber Security, msingi muhimu kwa kila jambo.

Learn practically, not theoretically, kusoma na kutenda, practice iwe kwenye vitu halisi.
 
Binafsi napenda hacking..but nilikaa nikajiuliza niende nikalost miaka yangu 4 au 3 kujifunza wizii ..maana mtu alie soma cyber njia pekee ya kujiajiki ni kuwa mwizi wa kimtandao. But soon I am going to Block some hacker because I extremely dislike cyber crimes
 
Back
Top Bottom