MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Kwanza soma system administrator,ujue most OS-windows,unix/linux,soma network administrator/engineer jua protocol and network in general it will be easier kujua hacking kwakua unajua how systems and network works badala ya kukariri code za kuingia kwenye system directNaomba darasa
Huu mzunguko mbn nomaKwanza soma system administrator,ujue most OS-windows,unix/linux,soma network administrator/engineer jua protocol and network in general it will be easier kujua hacking kwakua unajua how systems and network works badala ya kukariri code za kuingia kwenye system direct
hio sio hatua wala ya kujifunza hacking, kwa wanaosoma kama professional yao mfano wanafunzi wa IT, cyber security, computer Engineering nk. hivyo vinakuwa kama basic skill yao, mbali na kusoma na vingine vingi , hata mmoja kati yao ni ngumu kupata ni hackerKwanza soma system administrator,ujue most OS-windows,unix/linux,soma network administrator/engineer jua protocol and network in general it will be easier kujua hacking kwakua unajua how systems and network works badala ya kukariri code za kuingia kwenye system direct
Hacking in reality ni ngumu sana. Unaweza vipi kuhack mifumo iliyoundwa na wajuvi wenye elimu bobevu, raslimali na access ya miundombinu mingi kuliko wewe?hio sio hatua wala ya kujifunza hacking, kwa wanaosoma kama professional yao mfano wanafunzi wa IT, cyber security, computer Engineering nk. hivyo vinakuwa kama basic skill yao, mbali na kusoma na vingine vingi , hata mmoja kati yao ni ngumu kupata ni hacker
Mtu keshakwambia ana majini wake wanampa helaHawa mashehe sio wakuamini wanapata hela kwa njia zisizo halali kabisa
Naomba kujua ulifanikishaje kuingia dark web mkuuKweli mkuu , hata dark web nilishangaa wanauza logins za bank mbalimbali.
Mkuu watu huwa wanahisi hacking ni kitu rahisi kama kujifunza photoshop.Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Naomba kujua ulifanikishaje kuingia dark web mkuu
Huwezi ingilia kila mfumo.. ni vizuri uka specialize boss.. na ukajikita katika eneo husika.. kama unataka kuwa mtabe kwenye mobile, web, net , reverse , foren ect.. ukisaka kujua kila kitu huo utakuwa ni uwongo... kujua sana programi au net au kusoma computer Eng.. hakutokufanya uwe hacker mzuri kama una mawazo hayo loss ya kwanza hiyo.. vitakusaidia kwa sehemu ila havitokufanya kuwa bora zaidi.. nilishapewa task kwenye chuo flani na mtabe wao.. pale.. mwisho wa siku nilikuja mfundisha.. kwasababu yeye alikuwa mzuri sana kwenye Net.. ila kwenye Web App alikuwa tia maji tia maji.. tafuta eneo flani ujikite .. sio kazi rahisi.. inaweza kukuchukua miaka.. na kadri unavyodumu kwenye game ndio unazidi kuwa na maunjanja ya kutosha
nadhani umejifunza lakini haujajua unatumia wapiWakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Hacker ni mtu smart sana tofauti na wewe ,looks like a, script kiddie hahahaWakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
UNatumia oparating system gani ?Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Mshauri haende nigeria sasaWanigeria ndo watalamu wa hizi kazi
Wataalam wa hizo kazi wataalam wa mashuzi?Wanigeria ndo watalamu wa hizi kazi