Hivi hawakudakwa hadi leo!Mkuu watu huwa wanahisi hacking ni kitu rahisi kama kujifunza photoshop.
Heshima kwa mahacker wanaohack mifumo tena wengine wanaingia na kuchukua wanachochukua na wanasepa bila hata wahusika kuwa na taarifa.
Kuna wale wafilipimo walikuwa wachukue almost one billion US dollar kwenye bank ya bangkok, sema Mungu alikuwa upande wa bank wakase0a na just like 300 milions. Na hapo walicheza na mfumo wa swift
Hawakuwahi kudakwa mkuu almanusura waondoke na wa bilioni dollar sema walitoka kwenye mfumo mapema. Uliona walivyocheza na time zone? Hacking is a mind game.Hivi hawakudakwa hadi leo!
Duuh hii hatari aseeHawakuwahi kudakwa mkuu almanusura waondoke na wa bilioni dollar sema walitoka kwenye mfumo mapema. Uliona walivyocheza na time zone? Hacking is a mind game.
😃 Vijana mnautani.
Hapo ndio wanafunzi wengi wanajifunzia nahisiDuh!...ina maana hiyo mifumo ya chuo ipo wazi mno mpaka inachezewa kirahisi hivyo ?
At lease mtu asivuke umri gani mkuu, je kama hajafkisha labda 25 umri wake hadi afkishe miaka 30 inaweza kutosha kujifunza zaidi computer ?Kuna vitu hatujifunzi ukubwani.
Hackers wengi Kwa TZ hawajui hizo kitu,you can’t defend/attach something you don’t knowHuu mzunguko mbn noma
Kilakitu unaweza ukajifunza na ukanya viziri tu iwapo utaelewa.Hacking ni kipaji wala sio somo la kujifunza, vinginevyo utaishia kulia😂😂😂