Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Mkuu watu huwa wanahisi hacking ni kitu rahisi kama kujifunza photoshop.
Heshima kwa mahacker wanaohack mifumo tena wengine wanaingia na kuchukua wanachochukua na wanasepa bila hata wahusika kuwa na taarifa.
Kuna wale wafilipimo walikuwa wachukue almost one billion US dollar kwenye bank ya bangkok, sema Mungu alikuwa upande wa bank wakase0a na just like 300 milions. Na hapo walicheza na mfumo wa swift
Hivi hawakudakwa hadi leo!
 
Kuna vitu hatujifunzi ukubwani.
At lease mtu asivuke umri gani mkuu, je kama hajafkisha labda 25 umri wake hadi afkishe miaka 30 inaweza kutosha kujifunza zaidi computer ?
Tuseme labda kachelewa kwasababu ya mazingira yanayomzunguka lakini shauku na ujuzi anao kidogo
 
Back
Top Bottom