Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Huwezi ingilia kila mfumo.. ni vizuri uka specialize boss.. na ukajikita katika eneo husika.. kama unataka kuwa mtabe kwenye mobile, web, net , reverse , foren ect.. ukisaka kujua kila kitu huo utakuwa ni uwongo... kujua sana programi au net au kusoma computer Eng.. hakutokufanya uwe hacker mzuri kama una mawazo hayo loss ya kwanza hiyo.. vitakusaidia kwa sehemu ila havitokufanya kuwa bora zaidi.. nilishapewa task kwenye chuo flani na mtabe wao.. pale.. mwisho wa siku nilikuja mfundisha.. kwasababu yeye alikuwa mzuri sana kwenye Net.. ila kwenye Web App alikuwa tia maji tia maji.. tafuta eneo flani ujikite .. sio kazi rahisi.. inaweza kukuchukua miaka.. na kadri unavyodumu kwenye game ndio unazidi kuwa na maunjanja ya kutosha
Nimekuelewa mkuu, Asante sana
 
Nimekuelewa mkuu, Asante sana
Ushauri wangu, usikate tamaa mkuu!
Jifunze mdogo mdogo, huwezi ingilia web application.. ikiwa hujui namna inavyokuwa delevoped na na namna inavyo run behind the scene.. namvyosema uijue Web App sio lazima ujue ku code.. jua structure yake in and out.. narudia tena sio lazima ujue ku code.. kutokea hapo anza kuwaza namna gasi ya ku bypass hizo structure.. ukishaweza tu.. basi umepiga hatua.. hii ina apply kwenye maeneo mengine pia.. Usikate tamaa mzee baba.. hakuna jepesi kwenye maisha bila uvumilivu kutoa ngumu
 
Mbona ile miamba ya korea kaskazin kiduku anawatumia kumwibia hela za kuendesha nchi, mambo sio kama ulivoelezea sema wewe ni kilaza, lazarus wanakwiba mamilioni ya dolari kila siku wewe unakuja na ngonjera zako hapa, hzo kazi sio za vilaza ni za watu na akili zao, unawajua kidon wewe? UNATAKA KUJIFUNZA HACKING UKIWA MZEE UTAWEZA KWELI, HZO KAZI WANAANZA KUFUNDISHWA WATOTO WAKIWA NA MIAKA SI ZAID YA KUMI.
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.


Wewe ni mjinga kweli, kabisa ni mpumbavu, wew ni hasara kwa Taifa, familia na jamii ya wa Tanzania.
 
Ushauri wangu, usikate tamaa mkuu!
Jifunze mdogo mdogo, huwezi ingilia web application.. ikiwa hujui namna inavyokuwa delevoped na na namna inavyo run behind the scene.. namvyosema uijue Web App sio lazima ujue ku code.. jua structure yake in and out.. narudia tena sio lazima ujue ku code.. kutokea hapo anza kuwaza namna gasi ya ku bypass hizo structure.. ukishaweza tu.. basi umepiga hatua.. hii ina apply kwenye maeneo mengine pia.. Usikate tamaa mzee baba.. hakuna jepesi kwenye maisha bila uvumilivu kutoa ngumu

Ushauri wangu, usikate tamaa mkuu!
Jifunze mdogo mdogo, huwezi ingilia web application.. ikiwa hujui namna inavyokuwa delevoped na na namna inavyo run behind the scene.. namvyosema uijue Web App sio lazima ujue ku code.. jua structure yake in and out.. narudia tena sio lazima ujue ku code.. kutokea hapo anza kuwaza namna gasi ya ku bypass hizo structure.. ukishaweza tu.. basi umepiga hatua.. hii ina apply kwenye maeneo mengine pia.. Usikate tamaa mzee baba.. hakuna jepesi kwenye maisha bila uvumilivu kutoa ngumu
Sawa, mkuu Wacha nianze kuifutilia kiundani zaidi hiyo web application, few months later nitakuja na feedback
 
Mbona ile miamba ya korea kaskazin kiduku anawatumia kumwibia hela za kuendesha nchi, mambo sio kama ulivoelezea sema wewe ni kilaza, lazarus wanakwiba mamilioni ya dolari kila siku wewe unakuja na ngonjera zako hapa, hzo kazi sio za vilaza ni za watu na akili zao, unawajua kidon wewe? UNATAKA KUJIFUNZA HACKING UKIWA MZEE UTAWEZA KWELI, HZO KAZI WANAANZA KUFUNDISHWA WATOTO WAKIWA NA MIAKA SI ZAID YA KUMI.
Kwahiyo mkuu Mimi ni kilaza?
 
nyi mnatamani kuwa advanced hackers lakini minatamani niwe mgunduzi wakitu flani ili nikifa jina langu lisi sahaulike dunia

nyi mnatamani kuwa advanced hackers lakini minatamani niwe mgunduzi wakitu flani ili nikifa jina langu lisi sahaulike duniani
Kuwa mgunduzi sio Jambo la kujipangia
 
Huwezi kujifunza kuwa mdukuzi ili uwe mdukuzi, hao wanaofanya hvy n wale waliopata hy elimu kwa njia njema kabisa ila kwa bahati mbaya au nzuri wakaona mwanya wa kuingia kwenye system na kufanya udukuzi, mara nyingi mdukuzi utamkuta alikuwa anafanya kazi kuhusu security system ya kampuni flani.
 
Mie nitatofautiana na wengine kwenye hili.

Kijana ulikua hujifunzi "Hacking".... Ulitumia mda wako vizuri kujifunza "Wizi" bahati nzuri ama mbaya hukufanikiwa.

Hacking... Ni ile hali ya ku-gaining of unauthorized access to data in a system or computer. So hizo data ukiamua kuzitumia katika Wizi kama ulivyokua umepania au jambo lingine lolote hiyo inakua ni juu yako na nia yako.

Unakua umetoka kwenye Main "Subject" umeanza kutumia the knowledge obtained kufanya "Uhalifu".
 
nahisi kipaji ninacho Kama nilijifunza programming mwenyewe, Kali Linux pia my typing speed is getting very higher siku Hadi siku.
nadhani nilichokoswa ni exposure tu ya vifaa vya kimtandao nilipokuwa Bado mdogo na elimu ya school ilinikeep busy sana
Acha uongo kama una kipaji kwanini usitumie uwezo wako kutengeneza app au programs ukaingiza kipato halali. Zama hizi technolojia inalipa sana
 
The more you type the more you get better. Mimi naweza kusema ni kati ya watu wenye typing speed kubwa sana maana naweza kutype more than 53 words per minute na bila kutazama keyboard.
Imekuja automatically tu.

Unaanzaje nimechoka kudonoa donoa asee,kila nikitaka ku type na cheki keyboard.
 
Back
Top Bottom