Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ngoja niweke kambi hapa kujifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.huwezi kuwa hacker ukiwa na njaa zako ka hizo...we ukibaka unakufaa, hackers ni magenius wamezaliwa na wamekulia wakichezea computer
Aisee mdogo wangu naingiaje huko Darleen!?naomba mwongozo huwa naisikia Ila nimejaribu nashindwa namna ya kuanza...wengine technology imetukuta ukubwaniMkuu dark web pia nilienda ila wao wapo kibiashara zaidi , hawakufundishi hacking , unawalipa hela wanahack baadala yako
Faizafoxy😀
huyo ujinga umezidi, nipe Mimi hizo password mkuuUsiwaze mko wengi kuna mwenzako anajidai hacker tukampa had password ya bank akashindwa kutoa hela kwenye ATM
Mkuu huko huwa naingia kwa kutumia Tor browser, Ila Tor browser haifanyi kazi kwenye cm Hadi uwe na orbotAisee mdogo wangu naingiaje huko Darleen!?naomba mwongozo huwa naisikia Ila nimejaribu nashindwa namna ya kuanza...wengine technology imetukuta ukubwani
Orbot ni app ama!?Mkuu huko huwa naingia kwa kutumia Tor browser, Ila Tor browser haifanyi kazi kwenye cm Hadi uwe na orbot
Halafu lisiposahaulika unapata faida gani?nyi mnatamani kuwa advanced hackers lakini minatamani niwe mgunduzi wakitu flani ili nikifa jina langu lisi sahaulike duniani
Huyu naona hajawahi kuongelewa humu
maswali ya kitoto napumba kabisa unapomusoma isack newton,wright brazas,edwin drake,van lee na mzee wa zn stain unajihis nini katika akili yako?Halafu lisiposahaulika unapata faida gani?
oya, unazingua, Sasa hujajibu swali lakemaswali ya kitoto napumba kabisa unapomusoma isack newton,wright brazas,edwin drake,van lee na mzee wa zn stain unajihis nini katika akili yako?
yeah, ni appOrbot ni app ama!?
simpo tu ili kizazi na ukoo hata inchi iheshimike kwamba alikuwepo jiniaz flan aliitwa flani,amezaliwa nchi gani na wazazi wake ni kinanani ameibadilisha dunia kwa ugunduz ganioya, unazingua, Sasa hujajibu swali lake
😂😂😂PoleWakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.
Huyo ni msomi ila hana utundu au ubunifu, na ndiyo maana ameshindwa kuku-hack. Ukifanya kitu hiki kwangu, pamoja u-novice wangu kwenye hacking, lazima uumie tu tena in just a matter of secondsEmail yangu nii, ip address yangu nii we nitakupa chochote hack na naishi naye. Ila ni zaidi ya mwezi hajaweza hata hack pc yangu wakati tunashare same network.
Njoo nikupe details uni hack. Maneno mengi vitendo 0Huyo ni msomi ila hana utundu au ubunifu, na ndiyo maana ameshindwa kuku-hack. Ukifanya kitu hiki kwangu, pamoja u-novice wangu kwenye hacking, lazima uumie tu tena in just a matter of seconds
Siwezi, hatuko kwenye network moja. Ulisema kuna mtu ameshindwa na mko naye kwenye netwok mojaNjoo nikupe details uni hack. Maneno mengi vitendo 0
Sihisi chochotemaswali ya kitoto napumba kabisa unapomusoma isack newton,wright brazas,edwin drake,van lee na mzee wa zn stain unajihis nini katika akili yako?