Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

Hatimaye nimekata tamaa ya kujifunza Hacking. Ninachoki-experience sio nilichokidhania

chuo cha MUST - MBEYA kawaida iyo.

kuna jamaa angu alikua anadaiwa ada around 800k af bado siku mbili tu wafanye mtiani ikabidi amtafute mwamba akamlipa 250k akahack system ikaclear deni akafanya mitiani kama kawaida.

iyo ya matokeo ni kawaida, nakumbuka mwaka juzi chuoni kwetu walihack wahuni wakajitoa kwenye supp ila waligundulika wakadisco.
Mjumbe acha umbea,au umetumwa kuneutralize hili jambo?umefikiria kwa kina kabla haujaweka maneno hapa?
 
Kakataliwa na nani wakati wengi wanamuunga mkono kuhusu msimamo wake juu ya sakata la mkataba tata wa bandari na dp world? Kumbuka kuwa hana chama kinachomuunga mkono waziwazi na chenye kujinasibisha na msimamo wake huo na haina hoja kwamba amekataliwa
 
chuo cha MUST - MBEYA kawaida iyo.

kuna jamaa angu alikua anadaiwa ada around 800k af bado siku mbili tu wafanye mtiani ikabidi amtafute mwamba akamlipa 250k akahack system ikaclear deni akafanya mitiani kama kawaida.

iyo ya matokeo ni kawaida, nakumbuka mwaka juzi chuoni kwetu walihack wahuni wakajitoa kwenye supp ila waligundulika wakadisco.
Duh!...ina maana hiyo mifumo ya chuo ipo wazi mno mpaka inachezewa kirahisi hivyo ?
 
Hacking ingekua rahisi hivyo basi mabank,mitandao ya simu makampuni ya vingamuzi na tanesco ,gepg wangepata hasara sana hacking ni sawa na mtu afunge mlango na afiche funguo na uanze kuutafuta bila kujua uko wapi
 
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.

Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?

Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!

Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.

Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "

don't learn to hack , hack to learn"​

any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa

Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.

Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.

Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.

Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.

Finally naweza sema kwamba

Stop living in the world of imagination, come to reality and make great​

learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.

Man hivyo ulivyosoma bado sana, hacking goes beyond
Kuna deeper knowledge sio basics

Hacking inahitaji uweza ku accumulate multiple knowledges halaf uwe fluent on it. Lakin experience iwe on top of that otherwise unapoteza time yako
 
Hack ni gain unauthorized access to data in a system ... Ili u-hack unatakiwa uisome system inavyofanya kazi then ndio utaweza kuona loophole zake so before hacking unatakiwa ufanye penetrating test ambayo mpaka u-succeed inachukua almost weeks, months or years bt depends na security ya system husika...

Ukiwa na connection ya hackers wa Pakistani uta-enjoy sana coz wao wanakupa michongo ambayo kwenye nchi yao hazifanyi kazi tena bt ukiipiga kwa hapa Tz Inakuwa valid na success rate ni 100%..... Endelea kujitafuta tajir utajipata tu
 
Back
Top Bottom