Mimi sijaulizia kuhusu kizazi,ukoo au nchi...nmeuliza Wewe kama Wewe utapata faida gani?simpo tu ili kizazi na ukoo hata inchi iheshimike kwamba alikuwepo jiniaz flan aliitwa flani,amezaliwa nchi gani na wazazi wake ni kinanani ameibadilisha dunia kwa ugunduz gani
uliishia wapi?Wakati nimemaliza form four nilikuwaga bize kinoma na hizi mambo.
Niligundua sina akili ya kuwa hackeruliishia wapi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa iyo mpaka muwe kwenye network Moja daah maisha haya...! Nyie ndio mwasababisha ma IT wanadharaulika wallahiSiwezi, hatuko kwenye network moja. Ulisema kuna mtu ameshindwa na mko naye kwenye netwok moja
kuna typing games kibao, download uanzie huko, ila kama jamaa alivokuambia it takes time mkuu, inabidi uwe mvumilivu na upractise at least one hr kila siku.Unaanzaje nimechoka kudonoa donoa asee,kila nikitaka ku type na cheki keyboard.
Mjumbe acha umbea,au umetumwa kuneutralize hili jambo?umefikiria kwa kina kabla haujaweka maneno hapa?chuo cha MUST - MBEYA kawaida iyo.
kuna jamaa angu alikua anadaiwa ada around 800k af bado siku mbili tu wafanye mtiani ikabidi amtafute mwamba akamlipa 250k akahack system ikaclear deni akafanya mitiani kama kawaida.
iyo ya matokeo ni kawaida, nakumbuka mwaka juzi chuoni kwetu walihack wahuni wakajitoa kwenye supp ila waligundulika wakadisco.
Then nipe your IP address I will do bind shell [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]nc -nlvp 4444[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Anza hapo
Huu uzi unazungumzia hacking ujue.Hawa mashehe sio wakuamini wanapata hela kwa njia zisizo halali kabisa
Duh!...ina maana hiyo mifumo ya chuo ipo wazi mno mpaka inachezewa kirahisi hivyo ?chuo cha MUST - MBEYA kawaida iyo.
kuna jamaa angu alikua anadaiwa ada around 800k af bado siku mbili tu wafanye mtiani ikabidi amtafute mwamba akamlipa 250k akahack system ikaclear deni akafanya mitiani kama kawaida.
iyo ya matokeo ni kawaida, nakumbuka mwaka juzi chuoni kwetu walihack wahuni wakajitoa kwenye supp ila waligundulika wakadisco.
Kuna yale magemu ya watoto wanajifunzia kutype download uanzie hapo.Unaanzaje nimechoka kudonoa donoa asee,kila nikitaka ku type na cheki keyboard.
Wakuu
Nilipokuwa nasikia kuhusu hackers na case zao za kuvuta mpunga kwenye bank mbalimbali ilinivutia Sana nikatamani kufanya hacking my career.
Nikaanza kufuatilia nitaanzaje?
Niliambiwa nijifunze programming nikajifunza python, namaliza python nikajifunza html, Bado cc na java duh!
Nikawa najifunza kwa kuangalia video tutorials za you tube.
Then nikajaribu kufuatilia nikaambiwa siwezi kuwa hacker bila kujifunza networking, nikajifunza mwenyewe Mambo ya PAN, WAN, na LAN na jinsi network inavyofanta kazi, lakini haikuishia hapo nikaambiwa nijifunze kutumia kali Linux nikajifunza.
Nilistop kujifunza theoretically baada ya kuambiwa "
don't learn to hack , hack to learn"
any way nilichokuja kugundua ni kwamba hacking sio vile nilidhani kilichonikatisha tamaa
Hacking sio maajabu Kama nilivyodhani , hata kupata password kwa kutumia Red Hawk kwa mfano inatumia njia ya ku guess Kila password yaani una run crack kwa mda mrefu hata wiki kabisa mpaka pale itakapopatia password ya kweli.
Kumbe huwezi kuhack laini ya mtu na kuvuta mpunga m pesa Ila kwa njia moja tu inayoitwa sim card cloning ambayo inahitajika physical access hivyo huwezi kufanya Hilo Jambo remotely labda umshawishi mtu akupe baadhi ya taarifa.
Kumbe huwezi kuhack account ya bank ya mtu kwa siku moja au mbili , ni Jambo la mwezi au miezi na inahitaji uwe angalau na taarifa za mwanzo ambazo ili kuzipata lazima uwe tapeli kwanza.
Bahati mbaya zaidi hamna sehemu ya kujifunza Hacking ukaelewa, utapata knowledge za juu juu tu kupitia videos za you tube au online courses.
Finally naweza sema kwamba
Stop living in the world of imagination, come to reality and make great
learning hacking is nothing but wastage of time , vinginevyo labda uwe na kipaji.