Hatimaye nimemaliza salama miaka mitano JF bila Ban

Utakua mkorofi mkuu
Aseee nashindwaga epuka BAN sijui mimi nyota yangu ni ipi

Nimejiunga JF nkiwa na max ila rafiki angu huyu hata hapigwi BAN

Ki ukweli nanuka BAN juu mpk Chini
 
Nakumbuka hiyo siku aisee watu tulikula bani we ukapona hafi nikahisi

Kuna modi ni shemu etu
 
Nilikua naingia kwa blog ya Sinta.. kuna sehemu kunakua na list blogs nyingine, katika kufungua na kufungua nikakutana na JF. Nikawa naingia tu nasoma. Kwahiyo nikiangaza kublog naanza na Sinta, U-turn, JF na zingine
Swali linakuja kwako sasa...

Uliijuaje JF??
 
Ukizoea jukwaa la siasa ban lazima zikuhusu. Kule naingiaga kwa adabu aisee.
Ban ile nilinusurika pekee nahisi [emoji23][emoji23]
 
Inawezekana kuna ukweli hapo mkuu
 
Nilikua naingia kwa blog ya Sinta.. kuna sehemu kunakua na list blogs nyingine, katika kufungua na kufungua nikakutana na JF. Nikawa naingia tu nasoma. Kwahiyo nikiangaza kublog naanza na Sinta, U-turn, JF na zingine

Hivi blog ya Sintah bado ipo? Nina kama miaka 7 hivi sijaingia kule.

Huu uzi nadhani haunihusu, maana nina ID kama 7 zote zina ban.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…