financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Sate sauzand safi kabisaππSi sate hii?? π€£π€£π€£π€£
Saint Anne nkamu njoo uone sate sauzand
ππππKila lakheri mkuu, ningekua ni mimi huyo ila kaniwahi binti mbichii(joke)
No tuwaombee ikawe Heri kwao, huenda yupo seriousππππ
Siamini kama Kuna ndoa hapo kaamua tu kutuchangamsha
Mimi kama audience naomba kujuaSi sate hii?? π€£π€£π€£π€£
Saint Anne nkamu njoo uone sate sauzand
Sijawahi ona mipango serious inakuwa hivi na matangazo au anataka michango ya kufanikisha jambo?πNo tuwaombee ikawe Heri kwao, huenda yupo serious
No jf is whre we dare to talk and express ourselves openly, mimi namuamini eti naona ni kweli inawezekana kapenda kweli, let's wish them the best hayo mengine watajua wao hukoπSijawahi ona mipango serious inakuwa hivi na matangazo au anataka michango ya kufanikisha jambo?π
ππππNo jf is whre we dare to talk and express ourselves openly, mimi namuamini eti naona ni kweli inawezekana kapenda kweli, let's wish them the best hayo mengine watajua wao hukoπ
Usinisahau kwenye kamati moja wapoHarusi inakuja mwisho wa mwaka
dronedrake πTumepoteza Mwanachama Hai.
Chama Kinakutakia Kila La Kheri Upatapo Changamoto Yeyote Usisite Kutoa Taarifa Kwa Wajumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Team kataa ndoa[emoji3][emoji3][emoji3]Tumepoteza Mwanachama Hai.
Chama Kinakutakia Kila La Kheri Upatapo Changamoto Yeyote Usisite Kutoa Taarifa Kwa Wajumbe.
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Sate foreverMambo ya sateπππππππ
πππ We huelewi kitu, hapo wazee wa codes tu ndo tunaelewaMimi kama audience naomba kujua
Sate sauzand ndo aftatu mpya?
ππππ Itabidi ni print T-shirt za SATE SAUZAND niwauzie..!!!πSate sauzand safi kabisaππ
Kazi Kweli Kweli
President
Dah si ungenipa hata ishara mkuu, ila basi haikua bahati yanguπ ikawe Heri kwenuMkuu umechelewa kidogo tu, niliwahi kukwambia napenda ustaarabu wako ila sasa hukuchangamkia maongezi yaleπ