Nimeongea na Mshua kasema nichague shule yoyote ya A'level atanilipia. Mi nachagua kubaki St. Antony maana ndo ninapopaamini sitaki kwenda kwenye hiyo mishule yao ya Government mi-walimu ya huko full Stress lijitu halijalipwa mshahara linakuja kuwamalizia hasira wanafunzi class
naona ni st.anthonys hiyo aisee..ila mbona this is too good to be true..aiseee...we sema ulikua na two ya mwisho ndo imekua hivyo sio 4 mpaka 1 bhana alaaaaaahhhkama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 58%"][/TD]
S0534/0130
[TD="width: 4%"] M [/TD]
[TD="width: 6%"] 14 [/TD]
[TD="width: 4%"] I [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B [/TD]
Mkuu nakushukuru sana kwa kuweka ukweli hadharani. Hii inaonyesha aina ya Vijana tulionao nyakati hizi. Namtakia kila lakheri katika uongo wake.Ila akumbuke njia ya muongo ni fupi. Dogo anatakiwa atutake radhi. Vinginevyo itakula kwake, sisi ni watu wazima hawezi kutudanganya namna hiyo na inaonyesha huyu mtoto atakuja kuwa mchochezi mkubwa katika nchi hii. Maana hapa alitaka kutumika kuichonganisha NECTA na Wananchi.
kama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 58%"][/TD]
S0534/0130
[TD="width: 4%"] M [/TD]
[TD="width: 6%"] 14 [/TD]
[TD="width: 4%"] I [/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B [/TD]
hamna kitu huku ni kutaka kujikweza .unajua mwaka wamesysytemise na kustandardise ndo watu wakawaenda form miaka yote ingekuwa hivi nadhani nchi hii ingekuwa hoi kabisa , you know what am saying within the context of power of knowledge and capacity to conceive it. mwaka sijui kuna mtoto wa nani jamani au ni kumuokoa waziri?dawa yake ipo. A level
kama huamini angalia
Naingia A'level kwa mbwembwe tena shuleni wameniambia naweza kurudi hapo hapo A'level hakuna haja ya kwenda mishule ya Serikali.
[TD="width: 4%"]
[/TD]
[TD="width: 58%"][/TD]
[TD="width: 6%"] S0534/0130
[/TD]
[TD="width: 4%"] M
[/TD]
[TD="width: 6%"] 14
[/TD]
[TD="width: 4%"] I
[/TD]
[TD="width: 58%"] CIV-B HIST-B GEO-C KISW-B ENGL-B FREN-B PHY-C CHEM-B BIO-B B/MATH-B
[/TD]
kwa vile ishu yako ni skendo na ni kashfa kwa NECTA ngoja tufanye mchakato wa kuyapitia tena matokeo yako.uzuri wake umetoa hadi namba yako.
Hakuna kitu kama hicho, acha uongo usiyo na maana.Wadau nilishakata tamaa ya maisha baada ya kupata DIV 4 ya 31 hatimaye matokeo mapya yametoka nina DIV I point 14 nina uhakika wa kwenda A'level. Daaah Nimetisha wakubwa. Kuna masela walikuwa wanapiga msuli wa kutisha wamegonga O (ZIRO) ha ha ha!!! Ngoja nikajipongeze daaaahhhhh. MZUKAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!!!
Any f.o.o.l can be a president of this country!
Mbona una mbwebwe?halafu unakufuru,unafikiri wanaosoma huko serikalini wanapenda?,badala ya kushukuru Mungu kwa kupata hyo opportunity ya wazaz kukusomesha shule nzuri unaongea ujinga?angalia sana,tena uombe Mungu!hao unaowadharau watakuja kuwa watu wa maana zaidi yako ww
Mkuu inabidi Kova angeanza na huyu dogo maana alishahaidi kuwa atakuwa anapitia JF daily kukamata wachochezi.
wasiwasi wa nini wakati ana uwezo kitaaluma.hatumbanii ila kama ni kweli pia itasaidia kujua pengine kuna watanzania kibao wanafaulu kumbe wanafelishwa.Ila huyu dogo kaamua tu kujifurahishamwache dogo atoke mbona mnapenda kubaniana ....kula urefu wa kamba yako
Mbona una mbwebwe?halafu unakufuru,unafikiri wanaosoma huko serikalini wanapenda?,badala ya kushukuru Mungu kwa kupata hyo opportunity ya wazaz kukusomesha shule nzuri unaongea ujinga?angalia sana,tena uombe Mungu!hao unaowadharau watakuja kuwa watu wa maana zaidi yako ww
Mkuu inabidi Kova angeanza na huyu dogo maana alishahaidi kuwa atakuwa anapitia JF daily kukamata wachochezi.
kwa vile ishu yako ni skendo na ni kashfa kwa NECTA ngoja tufanye mchakato wa kuyapitia tena matokeo yako.uzuri wake umetoa hadi namba yako.