Hatimaye nimepata kazi

Hatimaye nimepata kazi

Kha! Weweee, mlokole ni mtu wa aina gani na kakuambia nani mie mlokole😂😂😂
Kwangu pamejaa hakuna nafasi hata ya lift
Maana mie nijuavyo walokole ndio wapendao kutoa mistari ya biblia, sasa ww nan kama si mlokole?😂
 
Nimekua brainwashed kusema zinaa haifai!?? Wewe unaonaje
Dhambi uwa pale mtendaji anapoamini kuwa afanyacho ni dhambi.
Dhambi ( ikiwemo na iyo mnayoita zinaa) ni illusion au zana ambayo waumini wengi wa dini tofauti tofauti wamepandikizwa.

Wapo wanaofanya zinaa haiwazuru kivyovyote vile na wana-prosper kwenye mambo yao tena vizuri sana, mwenzangu na mimi ulieuziwa idea ya zinaa kua nidhambi, ukisex tu na jirani baada ya kupata nyege( which is not your fault it's biological) kipindi dadiyo yupo mbali. Utashangaa utateswa sana, hakuna madhabau hautofika na to make things worse unaweza ata confess kwa mwenye mzinga wa asali ( dadiyo) mbele ya kadamnasi🤣😂😂
 
Dhambi uwa pale mtendaji anapoamini kuwa afanyacho ni dhambi.
Dhambi ( ikiwemo na iyo mnayoita zinaa) ni illusion au zana ambayo waumini wengi wa dini tofauti tofauti wamepandikizwa.

Wapo wanaofanya zinaa haiwazuru kivyovyote vile na wana-prosper kwenye mambo yao tena vizuri sana, mwenzangu na mimi ulieuziwa idea ya zinaa kua nidhambi, ukisex tu na jirani baada ya kupata nyege( which is not your fault it's biological) kipindi dadiyo yupo mbali. Utashangaa utateswa sana, hakuna madhabau hautofika na to make things worse unaweza ata confess kwa mwenye mzinga wa asali ( dadiyo) mbele ya kadamnasi🤣😂😂

Ndio maana kila mtu anacho anachoamini

Wacha mimi niamini vyangu nawe uamini vyako😅😅😅
 
Back
Top Bottom