Moment of silent
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 855
- 1,483
mama D mie nakutaka ww alaf ulivyokuwa mlokole bhas mambo yetu yataenda kimya kimya 😂Mwenyezi Mungu akupe unachokipenda kadri ya mapenzi yake.
Wapo wenye uhitaji kama wako, utapata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mama D mie nakutaka ww alaf ulivyokuwa mlokole bhas mambo yetu yataenda kimya kimya 😂Mwenyezi Mungu akupe unachokipenda kadri ya mapenzi yake.
Wapo wenye uhitaji kama wako, utapata
Maana mie nijuavyo walokole ndio wapendao kutoa mistari ya biblia, sasa ww nan kama si mlokole?😂Kha! Weweee, mlokole ni mtu wa aina gani na kakuambia nani mie mlokole😂😂😂
Kwangu pamejaa hakuna nafasi hata ya lift
Maana mie nijuavyo walokole ndio wapendao kutoa mistari ya biblia, sasa ww nan kama si mlokole?😂
Usifike huko, njoo dm bhas tusiwape faida washakunaku njoo tuongee kiukubwaKila mwenye imani anajua mistari inayomuweka kwenye hiyo imani. Sio mkristo tuu hata muislamu
Vinginevyo uwe muumini usiyejua unachokiamini
Huko dm siji sababu tumeshayamaliza hapaUsifike huko, njoo dm bhas tusiwape faida washakunaku njoo tuongee kiukubwa
Sawa 😂😂Huko dm siji sababu tumeshayamaliza hapa
Sijajua Ila Kama inakuondolea usafi achana nayo..maana mwili Ni nyumba ya roho..kila mtu ana malaika wake..anakaa tu sehemu iliyosafiVipi kuhusu pombe, tunywe?
Ni tofauti, kuna moja unatumia four figure nyingine unatumia calculaterKwani ku seksi na puchu ni sawa
Unazidisha siku 40 bila kusex kama alivyosema huyu bwana?Ingekuwa kutosex ina influence ajira wengine tungekuwa na mavyeo huko makazini
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sijavuka 30 nitafaa kua mkweo?Ndio, nimeolewa Moment of silent
Na wewe oa buana, au uje nyumbani nikuozeshe mmoja wa binti zangu
Sijavuka 30 nitafaa kua mkweo?
Hadi wewe umekua brainwashed, dah inasikitisha sana.Zinaa ni maasi makubwa na ni uchafu uliovuka mipaka, sawasawa ikiwa ndani ya ndoa au kabla ya ndoa.
Hadi wewe umekua brainwashed, dah inasikitisha sana.
Dhambi uwa pale mtendaji anapoamini kuwa afanyacho ni dhambi.Nimekua brainwashed kusema zinaa haifai!?? Wewe unaonaje
Dhambi uwa pale mtendaji anapoamini kuwa afanyacho ni dhambi.
Dhambi ( ikiwemo na iyo mnayoita zinaa) ni illusion au zana ambayo waumini wengi wa dini tofauti tofauti wamepandikizwa.
Wapo wanaofanya zinaa haiwazuru kivyovyote vile na wana-prosper kwenye mambo yao tena vizuri sana, mwenzangu na mimi ulieuziwa idea ya zinaa kua nidhambi, ukisex tu na jirani baada ya kupata nyege( which is not your fault it's biological) kipindi dadiyo yupo mbali. Utashangaa utateswa sana, hakuna madhabau hautofika na to make things worse unaweza ata confess kwa mwenye mzinga wa asali ( dadiyo) mbele ya kadamnasi🤣😂😂
TawileNdio maana kila mtu anacho anachoamini
Wacha mimi niamini vyangu nawe uamini vyako😅😅😅