Mkuu kuoa badoo ni sawa na kupanda shamba la miwa karibu na shule ya primary
Wakuu
Hatimaye nimeopoa bonge ya mwanamke kutoka mtandao wa badoo
Tunatarajia kufunga ndoa ya fasta maana ni binti nzuri sana nafanya hivi ili nisije nikawahiwa maana ni mrembo balaa
Nilichompenda ni kwamba ameniambia ashawahi kufanya mapenzi mara moja tu na tuseme bado ni bikra.
Nashukuru badoo imenipa mke bora mtoto mweupeeh
Wakuu
Kwani wewe upo badoo nije nikuoe?Wivu tu
Tumemuona analia liaUmempima ngoma? Kuna mwenzako kaopoa kutoka tinder baada ya kumpima ngoma imetiki akakimbilia Jf kuanzisha thread.