kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Wakuu,
Hatimaye nimeopoa bonge ya mwanamke kutoka mtandao wa Badoo.
Tunatarajia kufunga ndoa ya fasta maana ni binti nzuri sana nafanya hivi ili nisije nikawahiwa maana ni mrembo balaa.
Nilichompenda ni kwamba ameniambia ashawahi kufanya mapenzi mara moja tu na tuseme bado ni bikra.
Nashukuru badoo imenipa mke bora mtoto mweupeeh
Wakuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnaijua badoo au mnaisikiaga?
Nimeona niwafurahishe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti nioe mke wa badoo nitakua kichaa aisee[emoji1787][emoji1787]
Hatimaye nimeopoa bonge ya mwanamke kutoka mtandao wa Badoo.
Tunatarajia kufunga ndoa ya fasta maana ni binti nzuri sana nafanya hivi ili nisije nikawahiwa maana ni mrembo balaa.
Nilichompenda ni kwamba ameniambia ashawahi kufanya mapenzi mara moja tu na tuseme bado ni bikra.
Nashukuru badoo imenipa mke bora mtoto mweupeeh
Wakuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnaijua badoo au mnaisikiaga?
Nimeona niwafurahishe tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Eti nioe mke wa badoo nitakua kichaa aisee[emoji1787][emoji1787]