Hatimaye nimepata mke bora kutoka Badoo

Hatimaye nimepata mke bora kutoka Badoo

Kupata vichekesho kama hivyo tunabonyeza ngapi ngapi mkuu..?

Jipe Muda, hilo Picha ndio kwanza director ameagiza Camera...
 
Kwamba alishawahi kufanya mapenzi mara moja ila tuseme bado ni bikra ebu tumia kidogo akili yako kufungua hiyo code
 
Fresh tu,mbona hata wa mtaani ni vichomi tu.Mtakapoishia ndo hapohapo kikubwa jitahidi Mali zingine kutokumfichulia,mwache atambue nyumba na gari tu ili mkishindwana mgawane ivo tu lakini kumbe vipo ulivyowekeza ambavyo mama ako au ndugu anavitambua ili ukifa visipotee bure
 
Wakuu,

Hatimaye nimeopoa bonge ya mwanamke kutoka mtandao wa Badoo.

Tunatarajia kufunga ndoa ya fasta maana ni binti nzuri sana nafanya hivi ili nisije nikawahiwa maana ni mrembo balaa.

Nilichompenda ni kwamba ameniambia ashawahi kufanya mapenzi mara moja tu na tuseme bado ni bikra.

Nashukuru badoo imenipa mke bora mtoto mweupeeh

Wakuu
haaaa nipe jina lake
 
Mnaijua badoo au mwaisikiaga?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mwanamuqawanna mbona leo hujazingatia itifaki.

Kwani taarifa hazijapitia makao makuu pale Tehran zikasainiwa na Ayatollah na kusomwa mbele ya wapigania haki wa Quds forces. Sema uko Badoo nilichungulia mara moja sahivi huwa wananisumbua na spam zao kwenye email
 
Hii ni CHAI
tenor(1).gif
 
Mkuu tunaomba picha yake maana isijekuwa kila njemba humu zishampiga spana
Pia na yeye akuonjeshe b4 ndoa maana usijekuta bwawa la mtera
 
Back
Top Bottom