Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

Umejuajeeeee?? Ntatoka km fashionista.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntawazidi wote ukumbini.
Bwana harusi jicho lote kwangu. Na mie ntakua namkonyezaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tobaaa Tobaaaaa,kumkonyeza bwana harusi ni kutuharibia shughuli
 
Ifike mahali na Mimi nirushe ndoano kwa member mmoja hapa Jeiefu wa kike nione kama nitaopoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…