Tobaaa Tobaaaaa,kumkonyeza bwana harusi ni kutuharibia shughuliUmejuajeeeee?? Ntatoka km fashionista.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntawazidi wote ukumbini.
Bwana harusi jicho lote kwangu. Na mie ntakua namkonyezaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Aloooh [emoji1787] harusi tunayoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaa kungwiiii, ntawafunda wote siku hiyo ukumbini, bwana nitamfunda namna ya kumpiga mkewe na khangaa.
[emoji91][emoji91]Aloooh [emoji1787] harusi tunayoooo
Pesaa kwan mlongoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una Mikakati!!we busy na ma rich friend[emoji1751][emoji1751][emoji1751]
Harusiii ipoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aloooh [emoji1787] harusi tunayoooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidogoo tyuuhTobaaa Tobaaaaa,kumkonyeza bwana harusi ni kutuharibia shughuli
🤣🤣🤣Ukizua taharuki yeyote tunakutoa nje ya ukumbi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kidogoo tyuuh
Endelea hivyo hivyoUtoto raha sana [emoji1787][emoji1787]
Hawana noma wala NiniIfike mahali na Mimi nirushe ndoano kwa member mmoja hapa Jeiefu wa kike nione kama nitaopoa.