Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

Hatimaye nimepata tulizo la moyo wangu (mpenzi/mahabuba) ndani Jamii forums

[emoji1787][emoji1787] wifi mbona roho mbaya mapema wewe subiri niolewe utaishia nje nakwambia
🤣🤣Wifi kaka mwenyewe mim ndo hua namsaidia akikwama kuanzia leo msahada kwisha habari
 
Mmmhh! Huyu jamaa bwanah anavituko atal,mala hii ashaachana na wema sepenga ametangaza chuma mpya!
wee jamaa hvi mafuta unayo yakutosha! maana unasafari ndefu sana.
 
Huyo cute wife ni mgonjwa wa hiv.
Utapewa virus kila siku inayokwenda
 
[emoji1787][emoji1787]Wifi kaka mwenyewe mim ndo hua namsaidia akikwama kuanzia leo msahada kwisha habari

Wifi kuwa mpole nitamshawishi kakaako auze nyumba ya urithi ukose pa kukaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mmmhh! Huyu jamaa bwanah anavituko atal,mala hii ashaachana na wema sepenga ametangaza chuma mpya!
wee jamaa hvi mafuta unayo yakutosha! maana unasafari ndefu sana.

Sepenga kwiyooo zama zake zishaisha ss hiv utawala mpya na mashemeji niwaambie tu bado nipo saana [emoji1787]
 
Huyo cute wife ni mgonjwa wa hiv.
Utapewa virus kila siku inayokwenda

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe roho inakuuma nimekuacha sababu hunilizishi ndiomana unataka kumtisha baby wangu ili asinioe
 
Yaani hicho kinjunga atachokivaa bi harusi utaomba poo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na vile hajui kununa weweweeee
Umejuajeeeee?? Ntatoka km fashionista.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ntawazidi wote ukumbini.
Bwana harusi jicho lote kwangu. Na mie ntakua namkonyezaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwenyekiti naomba uwape dressing code za heshima, nisije bebewa mume kuna watu wanapania sherehe za wenzao! Tena coca wa kuwa makini nae sana [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu siku huyo ntakua buzzy na kumpa isharaa msimamizi wa bwana harusi anione mie tyuuh.
 
Angalizo,,,,tunaomba siku ya harusi uvae nguo ya heshima,hatutaki vinjunga ukapoteza concentration ya bwana harusi,,,maana bi harusi ana wasiwasi na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani bwana harusii atakuaje buzzy na mie? Mie ntakua buzzy na kijanaa atayetunza pesa nyingii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
My wangu hiyo sura ya shem mkilala usiku unamfunika usoni na shuka huku unaendelea na mambo mengine [emoji1787] mc usisahau kumletea somo huyu cocastic
Somo na mwali kagalauke [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaa kungwiiii, ntawafunda wote siku hiyo ukumbini, bwana nitamfunda namna ya kumpiga mkewe na khangaa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe roho inakuuma nimekuacha sababu hunilizishi ndiomana unataka kumtisha baby wangu ili asinioe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani bwana harusii atakuaje buzzy na mie? Mie ntakua buzzy na kijanaa atayetunza pesa nyingii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una Mikakati!!we busy na ma rich friend🤦🤦🤦
 
Back
Top Bottom