Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,582
- 26,053
🤣🤣Wifi kaka mwenyewe mim ndo hua namsaidia akikwama kuanzia leo msahada kwisha habari[emoji1787][emoji1787] wifi mbona roho mbaya mapema wewe subiri niolewe utaishia nje nakwambia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Wifi kaka mwenyewe mim ndo hua namsaidia akikwama kuanzia leo msahada kwisha habari[emoji1787][emoji1787] wifi mbona roho mbaya mapema wewe subiri niolewe utaishia nje nakwambia
[emoji1787][emoji1787]Wifi kaka mwenyewe mim ndo hua namsaidia akikwama kuanzia leo msahada kwisha habari
Mmmhh! Huyu jamaa bwanah anavituko atal,mala hii ashaachana na wema sepenga ametangaza chuma mpya!
wee jamaa hvi mafuta unayo yakutosha! maana unasafari ndefu sana.
Huyo cute wife ni mgonjwa wa hiv.
Utapewa virus kila siku inayokwenda
Mim ntaishi kwenye kotaz zetu zile.Wifi kuwa mpole nitamshawishi kakaako auze nyumba ya urithi ukose pa kukaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mim ntaishi kwenye kotaz zetu zile.
Thawaaaa[emoji1787][emoji1787] basi wii tulia tumlee kakayo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pilipili na ndimu ziwe nyingi sherehe ichachuke udugu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu atanibebea bwana harusi kachachuka mno [emoji1787]
Umejuajeeeee?? Ntatoka km fashionista.Yaani hicho kinjunga atachokivaa bi harusi utaomba poo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na vile hajui kununa weweweeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu siku huyo ntakua buzzy na kumpa isharaa msimamizi wa bwana harusi anione mie tyuuh.Mwenyekiti naomba uwape dressing code za heshima, nisije bebewa mume kuna watu wanapania sherehe za wenzao! Tena coca wa kuwa makini nae sana [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani bwana harusii atakuaje buzzy na mie? Mie ntakua buzzy na kijanaa atayetunza pesa nyingii.Angalizo,,,,tunaomba siku ya harusi uvae nguo ya heshima,hatutaki vinjunga ukapoteza concentration ya bwana harusi,,,maana bi harusi ana wasiwasi na wewe [emoji23][emoji23][emoji23]cocastic
Siweziiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Avae gauni la satin refu liwe loose na kilemba [emoji1787]
Nimejitoshelezaaaa haswaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena mwambie upo full
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie tenaa kungwiiii, ntawafunda wote siku hiyo ukumbini, bwana nitamfunda namna ya kumpiga mkewe na khangaa.My wangu hiyo sura ya shem mkilala usiku unamfunika usoni na shuka huku unaendelea na mambo mengine [emoji1787] mc usisahau kumletea somo huyu cocastic
Somo na mwali kagalauke [emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliiiiMeno yale sasa anaweza kukuparua lips wakati wa kukiss [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu zangu mmejua kunichuza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wewe roho inakuuma nimekuacha sababu hunilizishi ndiomana unataka kumtisha baby wangu ili asinioe
Una Mikakati!!we busy na ma rich friend🤦🤦🤦[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamani bwana harusii atakuaje buzzy na mie? Mie ntakua buzzy na kijanaa atayetunza pesa nyingii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]