cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mie tenaa harusi ya udugu wangu nisikupambeeee, yaan mbna wakweooo watasemaa alaaaah kijana wetu kapata mke.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mc km Mc hakikisha unanipamba sana siku hiyo mpk upande wa bwana harusi waniogope wasinichukulie powa!
Sema bwana harusi ataniharibia watoto ana sura ngumu jamani najitahidi kumuelewa nashindwa hivyo mwenzenu [emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]